Mrejesho; baada ya kukataa mahari ya binti yao

Mrejesho; baada ya kukataa mahari ya binti yao

asifanye hvyo mkuu atajiletea migogoro bure isiyoisha. Huo ukoo unaonekana unamatatizo sana ni bora kwa uamuzi aliufanya....... Wanawake wapo wengi....... Ila ningekuwa mm ile fain walionitoza wangeirudisha palepale wangezitambua akili za usiku

Yaani kuna familia nyingine zinaonesha umaskini wa waziwazi...usikute ndio mchezo wao huo wa kuwalia watu hela kwa njia za kitapeli kama hivyo.
 
Ndoa ni mpango wa Mungu hakuna aneolewa au kuoa kwa bahati mbaya ndo mana kama sie hata umpendane vipi iko siku utashangaa mahusiano yamekufa na hata ukijiuliza sababu hutakaa uelewe, ila pia inawezekana Kuna jambo Mungu amekuepushia kwenye huo ukoo, either way Mshukuru Mungu wako

upo sahihi
 
Yaani kuna familia nyingine zinaonesha umaskini wa waziwazi...usikute ndio mchezo wao huo wa kuwalia watu hela kwa njia za kitapeli kama hivyo.

yaan hii familia imetia aibu inamuwekea mikos mtoto wao bure aaagh
 
Kabla sijai search hiyo artical yako iliopita, nataka kujua kitu kutoka kwako! Hivi huyu msichana ulimpenda kweli? Na mbona kama unataka na wewe kumtesa hivyo, sikiliza, mimi ningekua wewe ningemwambia hivi (kama nampenda lakini), mpenzi wangu nakupenda sana na bado sijapata mwingine wa kuziba pengo lako, kwakua wazazi hawataki tuoane mimi na wewe, ngoja nijikite kwanza kwenye masomo yangu may be huko mbeleni wazazi wanaweza kugeza msimamo na tukaoana, tuvumilie kwanza! Please mwonee huruma pia huyo mtoto/binti nahisi anateseka, ni kweli kwamba mapenzi yanaua, aliimba Mumini Mwijuma, rudia maneno aliyoyasema, kwamba yeye hataolewa tena, (Inaweza kua sio kweli, anaweza kuolewa na mwanaume mwingine but remember, kuachana sio kitu kirahisi sana kama tunavyo fikiri wengi humu)
 
duh!pole sana mkuu,fungua ukurasa mpya na uanze maisha mapya
 
Kabla sijai search hiyo artical yako iliopita, nataka kujua kitu kutoka kwako! Hivi huyu msichana ulimpenda kweli? Na mbona kama unataka na wewe kumtesa hivyo, sikiliza, mimi ningekua wewe ningemwambia hivi (kama nampenda lakini), mpenzi wangu nakupenda sana na bado sijapata mwingine wa kuziba pengo lako, kwakua wazazi hawataki tuoane mimi na wewe, ngoja nijikite kwanza kwenye masomo yangu may be huko mbeleni wazazi wanaweza kugeza msimamo na tukaoana, tuvumilie kwanza! Please mwonee huruma pia huyo mtoto/binti nahisi anateseka, ni kweli kwamba mapenzi yanaua, aliimba Mumini Mwijuma, rudia maneno aliyoyasema, kwamba yeye hataolewa tena, (Inaweza kua sio kweli, anaweza kuolewa na mwanaume mwingine but remember, kuachana sio kitu kirahisi sana kama tunavyo fikiri wengi humu)

lakin tambua hata huruma wakat mwingne inaponza hata huyo mwanamke angekuwa na mapenz ya dhat kwa jamaa angeweza hata kuonesha msimamo wake mbele ya wazaz.....hyo familia ni ya kihhuni..... Hapo hamna kurudi nyuma acha jamaa asonge mbele tu
 
Jinga sana wewe jamaa unaweza kutenganishwa na mtu unayempenda na ndugu zake jinga sana tena jinga sana wavulana siku hizi wajinga sana unajuaje kama Mungu alichagulia kumuoa huyo jinga sana tena hata ambaye utamuoa utamuacha kwa sababu ya kushauriwa na ndugu wewe na huyo mpenzi wako jinga sana wote na inawezekana una udhaifu ndo maana wamekukataa dunia hii unakataliwa kuoa na wewe unakubali jinga sana.
 
Pole kwa yote.
Nahisi kinachoongea hapo ni hisia ulizonazo kwasasa ambazo zimechanganyika na hasira, disappointment na mengineyo. Umechagua vyema sana ukisoma utapeleka msisitizo masomoni na kusahau kirahisi zaidi. All the best
 
Huwa najifanya kagumu sana kuhusu kuumizwa na mapenzi.ila hili la home boy limenitouch!

Kuna familia hata sio za kwenda kuoa,ni wahafidhina sana.

Hongera kama umeyaacha mapenzi yaende,piga shule,na maisha yaendelee.

Shit happens,life goes!!
 
huwezi jua Mungu kakuepusha na mangapi,mshukuru yeye.hiyo familia inaonekana ina matatizo yake,si ajabu wangekusumbua sana na ndoa ungeiona chungu
 
Hivi mkuu mwaka mzima ulishindwaje kutia mimba? Ona sasa mmeoa bua. Kwa wazazi wengi hiyo faini uliyolipa ni mahari tosha sana! Name atakuona umemuheshimu binti yake kiasi cha kutosha
 
Pole sana aisee. But mshukuru Mungu kwa yote hauwezi jua umeepuka nini huko mbeleni. Ila ni usumbufu kwakweli hawajui tu how hard it is now days to find the right person kwa muda muafaka. Zamani ilikua rahisi sana ndiyo maana hizo mila zilikuwepo. Pole sana.
 
mkuu niliona uzi wako ila cku comment mi naona mshukuru Mungu wako you never know kakuepushia na nini ukute hata huyo mdada alikuwa na mtu wake ambaye alikuwa ana mkubali na wazazi wake angekuwa anakupenda angekomaa na wewe endelea na maisha na shule yako mana huyo hakuwa wako from what i know anything hapens for a reason and serves a purpose ucjali mkuu mwombe Mungu akusaidie kama kikosa kidogo hao wazaz hawaelewi je mngeoana je be strong
 
Gia ya kutafuta mchumba hii. Yani umetaja mpaka unapopatikana.
Wanawake kuweni makini.
 
Hivi mkiamua ku ignore mambo hayo mkaendekea na mahusiano yenu kutatokea nini?
 
Hamkupendana tu wazazi hawana la kuzuia kama mlipendana kwa dhati alafu muda wa mahusiano yenu nayaona yalikuwa madogo kiaina mlikuwa mnazinguana tu ndio mana mmeona wazazi kama chambo.
 
Hamkupendana nyie wawili wakipendana hakuna wa kuwatenganisha
 
Dah! pole sana mkuu kwa kuepuka kujipalia kaa la moto! pia nampa pole huyo binti kuzaliwa kwenye ukoo majanga kama huo! Laiti kama ningekuwa mmoja wa wahudhuriaji wa kikao cha muafaka, hakika huyo jamaa msemaji wa familia ya kike na wenzake ningewatwanga makonde ya uso. Haiwezekani watutoze faini,tuchome nauli na muda wetu+gharama ya kununua hivyo vitu then abwagize kuwa binti yao haolewi!! wat a ridiculous conclusion! aisee kungechimbika tena ile mbaya!!
 
Back
Top Bottom