Mrejesho; baada ya kukataa mahari ya binti yao

Junior Lecturer

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
904
526
Habari wana JF!
Awali ya yote nipende kuwa shukuruni wale wote ambao mliweza kunipatia ushauri hapa pamoja na matusi na vijembe ,laki vyote ni katika sualazima la kuwekana sawa katika maisha....

Nilikuja katika jukwaa hili kuomba ushauri juu ya mahali ambayo ilikataliwa kupokelewa na ndugu wa upande wa binti kisa imecheleweshwa,wengi wenu mlinituhumu kuwa nime jitungia hii stori hivyo kushindwa kunipa ushauri na wengi wenu mlinishauri nikaombe msamaha kwa mara nyinge licha ya msama wa kwanza kukataliwa.

Hivyo msamaha wa mara ya pili ambao uli wa kutanisha wazazi na ndugu wapande zote mbili ulifanywa kwa kuhusisha wazee wakanisa na suruhisho lililopatikana nikwamba tulitakiwa kulipa fidia ya mbuzi mmoja, dume, kuku wawili pamoja pesa taslimu shilingi laki moja na vitu hivyo vili tolewa.

Baada ya hapo kinyume na tulipo tarajia kuwa tunge ruhusiwa kupewa binti lakini haikuwa hivyo,kwani msemaji mkuu upande wa mwanamke ambaye ni baba yake mkubwa alitoa baraka kwa binti yake kuwa anamtakia apate mume mwema machoni pake lakini sio mimi,hivyo akamshauri atengane na mimi ili kumaliza uhasama na nuksi ndani ya ndoa suala ambalo lilipingwa kidoga na wazazi wangu pamoja na ndugu wengine wa upande wa mwanamke akiwemo mama yake na kaka yake mkubwa ,lakini baada ya mvutano na masimaango,
ya muda mrefu ndipo ndungu wa pande zote mbili walipo ridhia kuanzia siku hiyo mahusiano yetu yame zuiliwa na kutenguliwa kimila na kidini kutokana na pingamizi mbalimbali zilizo tolewa na pande zote mbili.

Hivyo mimi na mpenzi wangu tulie ishi katika mahusiano ya kimapenzi takribani mwaka mmoja na miezi minne hatuko pamoja tena wazazi wame tutenganisha..

Siku tatu sasa wana JF ,mpenzi wangu wazamani sipo naye tena yupo kwake nami kwangu maisha yana endelea,maumivu yamesha ni ishia sina habari naye tena.

Japo jana hasubuhi nahata jionialikuja kwangu na ombi moja akitaka kilammoja wetu ajali hisia za mwenzake mpaka pale atakapo pata mwenza kwaba kilekitendo cha kutenganishwa haja kipinga ila kwake anadai ni suprise hivyo anahitaji ukaribu nami wa kumjenga katika hali ya ukaka na dada...nimemkatalia na nime mwambia iwe mwanzo na mwisho kuja kwangu japo kaapa kamwe hata olewa tena..

Mie nita oa lakini kwa sasa sina mpango na wanawake .

Sasa akili yangu nimeigeuzia katika shule nilikuwa nime sitisha masomo ilikupisha suala la ndoa.

Asanteni kwa ushauri wenu..

Misscgagga big up kwako ulinishauri na vijembe na nimeutendea ushauri wako kazi sahizi kiroho safi kwa wale mlioko mwanza mwaweza nipata nyamagana mtaa wa nyakato-buzuruga kwa kunipa ushauri zaidi.

Ombi langu kwa wazazi acheni kuendekeza mila za zamani ambazo hazina manmufaa katika kizazi hiki.

Ushauri wangu kwa vijana ....
usifanye makosa katika kuoa kwani mwana mke ndo dira ya ndani.

Bless u all.
 
Pole mkuu.


||"Tomorrow will say its a memory and we have enjoyed our lives for a couple of days."||
 
Pole ndugu nakumbuka thread yako, ungeweka ka link hapo juu ili wengi wajifunze.

Mshikilie Mungu na hatakuacha, hakuna kitu cha raha kama mtu ukijua hauna kosa la makusudi ulofanya.

Pia mshukuru Mungu maana haujui nae kakuepusha nini, mngeweza endelea na kama hamko au hauko na Mungu wangewaingilia. Hao haswa waliotaka msiwe wote na kuwavuruga.

Kuna uliyepangiwa Mungu atakukutanisha nae usipotegemea. Ila duh nashangaa huyo binti hajaogopa labda anajua mila na familia yake wana ambayo haujui kama ange ng'ang'ania. Umefanya mema pia kumkatalia kuwa na uhusiano.
 
Pole sana. Umefanya busara kutokung'ang'ania. Na ni sahihi wewe kumfungia vioo huyo mpenzi wako. "Miungu" ya kwao imekukataa.
 
Pole ndugu nakumbuka thread yako, ungeweka ka link hapo juu ili wengi wajifunze.

Mshikilie Mungu na hatakuacha, hakuna kitu cha raha kama mtu ukijua hauna kosa la makusudi ulofanya.

Pia mshukuru Mungu maana haujui nae kakuepusha nini, mngeweza endelea na kama hamko au hauko na Mungu wangewaingilia. Hao haswa waliotaka msiwe wote na kuwavuruga.

Kuna uliyepangiwa Mungu atakukutanisha nae usipotegemea. Ila duh nashangaa huyo binti hajaogopa labda anajua mila na familia yake wana ambayo haujui kama ange ng'ang'ania. Umefanya mema pia kumkatalia kuwa na uhusiano.

upo sahihi..
Kuhusile thread waweza i search ilikuwa ina someka hivi...

"WAME KATAA KUPOKEA MAHALI YA BINTI YAO,TUFANYEJE"?

SEARCH JUKWAANI HAPA.
 
Pole sana ndugu yangu. Sasa kama walijua huo ndio msimamo wao, kwa nini walikutoza faini na wakaipokea hiyo faini? Nilkuwa sifikirii kwamba katika ulimwengu wa leo bado kuna mambo kama haya ingawaje nina wasiwasi na huyo mpenzi wako kama kweli anakupenda. Kwani wanaoolewa na wewe ni wazazi wake au yeye? Kwa hiyo yeye alikubaliana na msimamo wa wazazi wake kiurahisi tu namna hiyo?

Pole tena.

Tiba
 
Pole sana ndugu yangu. Sasa kama walijua huo ndio msimamo wao, kwa nini walikutoza faini na wakaipokea hiyo faini? Nilkuwa sifikirii kwamba katika ulimwengu wa leo bado kuna mambo kama haya ingawaje nina wasiwasi na huyo mpenzi wako kama kweli anakupenda. Kwani wanaoolewa na wewe ni wazazi wake au yeye? Kwa hiyo yeye alikubaliana na msimamo wa wazazi wake kiurahisi tu namna hiyo?

Pole tena.

Tiba

asante mkuu....
Sio wewe tu ,umeshangaa hatamie pia lakisio sana maana upepo ulikuwa mbaya toka mwanzo.
 
Hao ni waganga njaa tu! Ilikuwaje wapokee faini halafu wawatenganishe? Huyo mwanamke naye sidhani alikupenda kama wewe ulivompenda, naungana na wewe kumwambia iwe mwisho na aikusogelee.

Move on Junior Recture
 
Last edited by a moderator:
Hivi hizi mila za wapi tena?

Waafrika wana ubongo uliong'ang'ania mahali fulani gizani hivi na kujikuta wanaendekeza mambo ya kipuuzi puuzi...

Mnamtoza mtu mahari, mnamtoza adhabu halafu na mchumba mnampoka...huu sio ustaarabu wala uungwana hata kidogo...

We kijana mimi nakushauri kama bado unapenda na huyo binti, mchukue na uondoke naye mkaishi mbali kabisa...

Hakuna laana wala mjomba wake laana itakayokupata maadamu uwe umemaliza MAHARI yote, yaani hudaiwi.

Unakoseshwa mwanamke umpendaye na chaguo lako kisa wapuuzi wachache tu
 
Habari wana JF!
Awali ya yote nipende kuwa shukuruni wale wote ambao mliweza kunipatia ushauri hapa pamoja na matusi na vijembe ,laki vyote ni katika sualazima la kuwekana sawa katika maisha....

Nilikuja katika jukwaa hili kuomba ushauri juu ya mahali ambayo ilikataliwa kupokelewa na ndugu wa upande wa binti kisa imecheleweshwa,wengi wenu mlinituhumu kuwa nime jitungia hii stori hivyo kushindwa kunipa ushauri na wengi wenu mlinishauri nikaombe msamaha kwa mara nyinge licha ya msama wa kwanza kukataliwa.

Hivyo msamaha wa mara ya pili ambao uli wa kutanisha wazazi na ndugu wapande zote mbili ulifanywa kwa kuhusisha wazee wakanisa na suruhisho lililopatikana nikwamba tulitakiwa kulipa fidia ya mbuzi mmoja, dume, kuku wawili pamoja pesa taslimu shilingi laki moja na vitu hivyo vili tolewa.

Baada ya hapo kinyume na tulipo tarajia kuwa tunge ruhusiwa kupewa binti lakini haikuwa hivyo,kwani msemaji mkuu upande wa mwanamke ambaye ni baba yake mkubwa alitoa baraka kwa binti yake kuwa anamtakia apate mume mwema machoni pake lakini sio mimi,hivyo akamshauri atengane na mimi ili kumaliza uhasama na nuksi ndani ya ndoa suala ambalo lilipingwa kidoga na wazazi wangu pamoja na ndugu wengine wa upande wa mwanamke akiwemo mama yake na kaka yake mkubwa ,lakini baada ya mvutano na masimaango,
ya muda mrefu ndipo ndungu wa pande zote mbili walipo ridhia kuanzia siku hiyo mahusiano yetu yame zuiliwa na kutenguliwa kimila na kidini kutokana na pingamizi mbalimbali zilizo tolewa na pande zote mbili.

Hivyo mimi na mpenzi wangu tulie ishi katika mahusiano ya kimapenzi takribani mwaka mmoja na miezi minne hatuko pamoja tena wazazi wame tutenganisha..

Siku tatu sasa wana JF ,mpenzi wangu wazamani sipo naye tena yupo kwake nami kwangu maisha yana endelea,maumivu yamesha ni ishia sina habari naye tena.

Japo jana hasubuhi nahata jionialikuja kwangu na ombi moja akitaka kilammoja wetu ajali hisia za mwenzake mpaka pale atakapo pata mwenza kwaba kilekitendo cha kutenganishwa haja kipinga ila kwake anadai ni suprise hivyo anahitaji ukaribu nami wa kumjenga katika hali ya ukaka na dada...nimemkatalia na nime mwambia iwe mwanzo na mwisho kuja kwangu japo kaapa kamwe hata olewa tena..

Mie nita oa lakini kwa sasa sina mpango na wanawake .

Sasa akili yangu nimeigeuzia katika shule nilikuwa nime sitisha masomo ilikupisha suala la ndoa.

Asanteni kwa ushauri wenu..

Misscgagga big up kwako ulinishauri na vijembe na nimeutendea ushauri wako kazi sahizi kiroho safi kwa wale mlioko mwanza mwaweza nipata nyamagana mtaa wa nyakato-buzuruga kwa kunipa ushauri zaidi.

Ombi langu kwa wazazi acheni kuendekeza mila za zamani ambazo hazina manmufaa katika kizazi hiki.

Ushauri wangu kwa vijana ....
usifanye makosa katika kuoa kwani mwana mke ndo dira ya ndani.

Bless u all.

Weka namba ya huyo x wako
 
Hao ni waganga njaa tu! Ilikuwaje wapokee faini halafu wawatenganishe? Huyo mwanamke naye sidhani alikupenda kama wewe ulivompenda, naungana na wewe kumwambia iwe mwisho na aikusogelee.

Move on Junior Recture

dai lao la kupoke faini ni kufidia gharama walizo tumia siku ambayo hatukwenda kutokana na matatizo.
 
Last edited by a moderator:
Hivi hizi mila za wapi tena?

Waafrika wana ubongo uliong'ang'ania mahali fulani gizani hivi na kujikuta wanaendekeza mambo ya kipuuzi puuzi...

Mnamtoza mtu mahari, mnamtoza adhabu halafu na mchumba mnampoka...huu sio ustaarabu wala uungwana hata kidogo...

We kijana mimi nakushauri kama bado unapenda na huyo binti, mchukue na uondoke naye mkaishi mbali kabisa...

Hakuna laana wala mjomba wake laana itakayokupata maadamu uwe umemaliza MAHARI yote, yaani hudaiwi.

Unakoseshwa mwanamke umpendaye na chaguo lako kisa wapuuzi wachache tu

mahali hawaja ipoke ni faini pekee ndo imepokelewa...

Haikuwa ridhiki
 
Back
Top Bottom