BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,218
- 39,042
- Thread starter
- #81
Achana na yard ujanja ni kuagiza gar ya mwaka 2002 tofaut na 2004.... 2005 tofaut na 2006 kuanzia bei mpk ushuru mkuu we umeagiza af hujui hizi mambo ama wewe ulipick tu moja iyo iyo.....izo rim ni size ngap nikitaka gar iwe jujuu kidogo tyre size ngapi.?
Mkuu kila mtu ana choice yake kuna wanaopena za 2002, 2003 wengine 2006 kila mtu anachagua anachotaka na pesa anatoa yeye, usimpangie mtu hii ndo shida ya watz na unaagizaje gari kama hujui kodi??
Before hujaagza gari lzama ujue kodi, gharama za clearing, tbs, bima nk