Niliacha pombe kwa kuwa kila nikinywa pombe nikiamka naamka na kesi, kwa ufupi nilikuwa napata hasara sana. Kwa sasa nimekuwa mnene sana, muda wowote napasuka maskini Mimi.
Nikinywa pombe lawama, nimeacha lawama. Dunia tambara bovu nimekubali
Na mama mzazi amelaani na kusema nikirudia pombe nitakufa. Na siwezi tena kurudi huko, nakula kawaida sana, kipato changu cha kawaida ila naridhika sana na kidogo hicho.
Sasa mwili umekuwa mzito sana, nikisema nijibane kula starehe yangu itakua ipi na pombe nimeacha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.