Mrejesho: Alinipa penzi nimwingize kazini, sasa ananitishia

Mrejesho: Alinipa penzi nimwingize kazini, sasa ananitishia

Tulia namimi nitafute kisa chochote walahi mbona kuna visa vya kufikirika humu ?
 
Mkeo naye kaja ofisini kwetu anatafuta kazi kakutana nami HR...

Guess what's next....
 
Hahaha. Nilikuwa nakutega tu. Unanifanya nikupende zaidi. Naahidi kutorubunika kamwe.

Huyu mwenzako aliapa mbele ya mchungaji/padre/shehe na kadamnasi ya watu kuwa 'hatohadaika' na mwanamke mwingine na bado mpendwa akamhadaa...sembuse wewe unaapia jf!???

Cc: Heaven Sent
 
Last edited by a moderator:
Hahaha. Nilikuwa nakutega tu. Unanifanya nikupende zaidi. Naahidi kutorubunika kamwe.

Huyu mwenzako aliapa mbele ya mchungaji/padre/shehe na kadamnasi ya watu kuwa 'hatohadaika' na mwanamke mwingine na bado mpendwa akamhadaa...sembuse wewe unaapia jf!???

Cc: Heaven Sent
 
Last edited by a moderator:
Huyu mwenzako aliapa mbele ya mchungaji/padre/shehe na kadamnasi ya watu kuwa 'hatohadaika' na mwanamke mwingine na bado mpendwa akamhadaa...sembuse wewe unaapia jf!???

Cc: Heaven Sent
Whether mtu ameapia jf/ kanisani/ msikitini... ni uhusiano wake huyo mtu binafsi na Mungu ndo utakaokipa hicho kiapo uhai. otherwise hiyo ahadi/ kiapo kitakuwa tu kama cha wanasiasa. So kabla hajaahidi I gave him enough time kukaa na Mungu ili ajue ni nini anakitaka + athari za kuviolate/ kuvunja hiko kiapo ili asiape kama fashion. Mwisho wa siku he came with the vow "I promise", na sio "I promise I will try" ( sijui kama umeona utofauti) . Kwa hiyo me nachochea tu na maombi ili hofu ya Mungu izidi ndani yake. Amen

C.c Paulo Sergio De Souz
 
Last edited by a moderator:
Huyu mwenzako aliapa mbele ya mchungaji/padre/shehe na kadamnasi ya watu kuwa 'hatohadaika' na mwanamke mwingine na bado mpendwa akamhadaa...sembuse wewe unaapia jf!???

Cc: Heaven Sent

Haha. HS is off the planet bana. She stands out. So, kama nilivyosema mwanzo, nimeshaonja 'heaven', vya duniani sitaki tena. My word is bond.

Whether mtu ameapia jf/ kanisani/ msikitini... ni uhusiano wake huyo mtu binafsi na Mungu ndo utakaokipa hicho kiapo uhai. otherwise hiyo ahadi/ kiapo kitakuwa tu kama cha wanasiasa. So kabla hajaahidi I gave him enough time kukaa na Mungu ili ajue ni nini anakitaka + athari za kuviolate/ kuvunja hiko kiapo ili asiape kama fashion. Mwisho wa siku he came with the vow "I promise", na sio "I promise I will try" ( sijui kama umeona utofauti) . Kwa hiyo me nachochea tu na maombi ili hofu ya Mungu izidi ndani yake. Amen

C.c Paulo Sergio De Souz

Amen babe. We finna put it all in one pot, and see to it than it pans out. I'm Rakim, and you're the Truth. Only difference is, I'm your fiend.
 
Back
Top Bottom