Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,225
- Semo semo mafisadi's style, ilianzishwa na Lowassa, Mkapa, Chenge, now Mramba kwenda kuwadaganya wananchi wa jimboni, maana huku mjini hakuna wa kumpandisha mkenge, akirudi mjini kesi Kisutu iko pale pale, mpaka kieleweke!
- Hivi jamani si nimewahi kusikia kuwa mkoa wa Kilimanjaro unaongoza kwa kuwa na shule nyingi za secondari na elimu Tanzania au? Kuwa na shule yningi sio guarantee kua wananchi watakuwa na na elimu? I mean this mapokezi ya fisadi is beyond imagination!
Njaa, shida, na kukosa matumaini ni kitu kibaya sana...
- Semo semo mafisadi's style, ilianzishwa na Lowassa, Mkapa, Chenge, now Mramba kwenda kuwadaganya wananchi wa jimboni, maana huku mjini hakuna wa kumpandisha mkenge, akirudi mjini kesi Kisutu iko pale pale, mpaka kieleweke!
- Hivi jamani si nimewahi kusikia kuwa mkoa wa Kilimanjaro unaongoza kwa kuwa na shule nyingi za secondari na elimu Tanzania au? Kuwa na shule yningi sio guarantee kua wananchi watakuwa na na elimu? I mean this mapokezi ya fisadi is beyond imagination!
Ni kweli kabisa Kichuguu. Hili linasikitisha sana. Kwanza Lowassa alipewa mapokezi ya nguvu baada ya kujiuzulu kwa kashfa ya Richmond/Dowans, akafuata Mzee wa Vijisenti naye akapewa mapokezi ya nguvu kwenye jimbo lake na sasa Mzee wa "Hata Majani tutakula lakini Rada ni lazima inunuliwe" halafu CCM imeyafumbia macho na kukaa kimya kabisa kuhusu mapokezi haya ya Watuhumiwa. Halafu wakati huo huo inajitangaza inapambana na mafisadi!!!!
Huyu angepewa masharti na korti unaenda kwenu basi hustahili kupokewa kwa mapokezi makubwa lakini kaachiwa tu sasa anapeta!!! Bongo inastaajabisha kweli kweli!!!
waombolezaji ni wote ni wewe na mimi pia kakaNi mwakilishi wao ambaye walimchagua kwa kura zao, acheni wafanye watakavyo maana mwisho wa siku wao ndio waombolezaji
Njaa, shida, na kukosa matumaini ni kitu kibaya sana...
Ni kweli mwaka 1995 Mramba alibwagwa vibaya na Mgombea wa CHADEMA Bw.Alfred Justine Salakana.
Hata hivyo,hayo mapokezi ya huko Rombo itakua dili limechezwa na wananchi wakaingizwa mkenge tu.Hao mafisadi wanajiandalia mapokezi wenyewe kwa wenyewe halafu wananchi wanaingizwa mkenge.
Hata wafanye nini mwaka ujao Mramba harudi Bungeni
Utaendeshaje vita dhidi ya ufisadi kama wananchi sisi wenyewe tunasema pole kwa kushikwa kwa ufisadi lakini hongera sana, siku nyingine uhakikishe hushikwi!!!!!!!!!