Mradi wa Ujenzi wa Mji wa Kigamboni ulioanzishwa na NSSF (Dege Eco Village) unapigwa mnada

What a loss! Ndio yale yale ya nchi kukosa vision na kila kiongozi kuja na interests zake. Haya nadhani yalikuwa maono ya Kikwete, Mama Tibaijuka kipindi hicho sasa kaondoka, aliyeingia hana mpango nayo, ana maono mengine. Habari ya Kigamboni City kwishney!! Nadhani kama Taifa kuna sehemu tulikosea na inabidi turudi tusahihishe!

Tulikosea kwenye elimu. Viongozi wengi baada ya wale Waliopitia elimu ya kikoloni, kisha ikaingia elimu ya ujamaa, hapo mwalimu alikosea. Pamoja na PHD nyingi, zote hazing maana, hatuoni mbali elimu exposed. Viongozi wetu wengi wanaogopa matata, hawajui wanachokiongoza. Tanzania ni kubwa, mali asili ni nyingi. Kenya ni nusu jangwa, wizi upo, lakini nchi imeendelea, wizi wa Tanzania ni wa kijinga usiokuwa na AIBU. Airport ya Kenya, thamani yake ni chini zaidi ya pesa alizolipwa Lugumi kufunga vipimo vya vidole. Ukiona vipimo vyenyewe ni vichekesho Ni AIBU. Sasa nyumba za Lugumi zinauzwa sio kwa wizi za pesa ya hizi tenda ati kwa kodi, kila kitu cha huyu bwana ni jasho la Watanzania, Leo yuko nnje, ingekuwa China risasi tu. Najionea huruma na Watanzania wenzangu.
 
Mradi mkubwa wa ujenzi wa mji mpya wa Kigamboni jijini Dar es Salaam uitwao Dege Eco Village, ulioanzishwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya jamii 'NSSF' ulisimama mwaka 2016 huku ikiripotiwa kuwapo kwa ufisadi wa zaidi ya TSH bilioni 179 katika mradi huo.
Cha kufahamu ni kwamba sasa anatafutwa muwekezaji kwenye mradi huo na kazi hiyo wamepewa kampuni ya udalali ya Yono

Mradi huo unaelezwa kuwa na thamani ya dola za Kimarekani milioni 350 sawa na shilingi bilioni 78 za Tanzania



Chanzo: Millard Ayo

Miradi ilikuwa ya watu hiyo ndiyo shida kulitawaliwa na milango ya kuwanufaisha baadhi ya Viongozi kupitia Taasisi za Serikali

Hiyo haiwezi kufanyika ndani ya Serikali ya Magufuli never uzeni tu na mnaweza hata makosa mwekezaji kwasababu hakuna mtu binafsi alikuwa na mipango hiyo.

Nchi hii watu waligawana kila Kitu na kila mahali.
 
Dau na genge lake (management ya zamani ya NSSF) wanapaswa kuchukuliwa hatua sasa
Wameliumiza sana taifa hili
Mara udini katika ajira, ufisadi, tenda za kupeana, matumizi mabaya ya pesa za uma

Acha kutafuta Visingizio

Dau akili nyingi yuleee
Tuliwaambia Kumtoa Dau NSSF ni kazi rahisi sana sana kazi ngumu ni kufikia viwango vyake vya utendaji kazi!

Fuatilia ujue Dau alivyoitoa Shimoni NSSF kutoka kwny Mikono ya DG aliempokea Mustafa Mkulo mpaka hapa alipoifikisha!
NSSF mafanikio yake yanazidi mafanikio ya PSPF, LAPF, GEPF na PPF ukiwajumlisha kwa jumla!

Wangekuwa na akili wangemfukuza Dau then Management yake ingebaki iwe chini ya DG Mpya lakin unamtoa DG unaitoa Management yote na unaivunja bodi yote ya Wakurugenzi kwa wakati Mmoja Halafu unategemea Mfuko usiyumbe?

Unachukua Fedha za Uwekezaji Wenye return ya uhakika na risk ndogo ( Building) unaenda kuwekeza kwny Kilimo cha Miwa na ufufuaji wa Kiwanda cha kununua Nafaka Usukumani?
Wangekuwa na akili japo ndogo ya uwekezaji wangemalizia Yale Majengo Kwa kiasi kilichobaki ili waanze kuingiza Return ya uhakika na ya Muda wote

Mwekezaji gani aje kuwekeza Mradi ule Mkubwa wakati hawajui Bosi akiamka Asubuhi ataongea nini kuhusu uwekezaji?
Mdau wa Ule Mradi angeweza kuumalizia ule Mradi lakin hajui Kichwani kwa Mzee kuna mawazo gani ?
 
Dau na genge lake (management ya zamani ya NSSF) wanapaswa kuchukuliwa hatua sasa
Wameliumiza sana taifa hili
Mara udini katika ajira, ufisadi, tenda za kupeana, matumizi mabaya ya pesa za uma
Mkuu ni kweli ila Dau ameshaondoka wauendeleze basi
 
Serikali iliyopita haikuanzisha chochote. Rais alikuwa hana time, ni ilikuwa ni kuponda mali na kusafiri tu. Ilikuwa ni serikali ya kihuni na wizi mutupu kila kona. Chini ya Kikwete watu walikuwa wakiitafuna Tanzania utafifikiri nchi ilikuwa haina kiongozi. Kusema miladi ilianzishwa na uongozi uliopita inakuumbuwa hujui jawabu la moja kujumulisha moja, serikali zilizopita zimewaangusha Watanzania kwa wizi wa kimachomacho. Imewasaidia kwa Kuwa wengi wetu hatuna elimu bora ya kujuwa tumeibiwa tunashangilia uongozi uliopita. Ni AIBU kwa taifa. Kenya wanaiba lakini hawaibi kijinga kama viongozi wetu, wanapewa kitu kidogo, wageni wanabeba kila kitu. Wizi wa Tanzania ni wakijinga.
Ni kweli mkuu hata hii mitandao imeanza awamu ya tano
 
Kiongozi dola milioni 350 ni zaidi ya bilioni 750, na sio bilioni 78. Kutakuwa na typing errors.

Mradi huo unaelezwa kuwa na thamani ya dola za Kimarekani milioni 350 sawa na shilingi bilioni 78 za Tanzania

Chanzo: Millard Ayo
 
Mradi mkubwa wa ujenzi wa mji mpya wa Kigamboni jijini Dar es Salaam uitwao Dege Eco Village, ulioanzishwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya jamii 'NSSF' ulisimama mwaka 2016 huku ikiripotiwa kuwapo kwa ufisadi wa zaidi ya TSH bilioni 179 katika mradi huo.
Cha kufahamu ni kwamba sasa anatafutwa muwekezaji kwenye mradi huo na kazi hiyo wamepewa kampuni ya udalali ya Yono

Mradi huo unaelezwa kuwa na thamani ya dola za Kimarekani milioni 350 sawa na shilingi bilioni 78 za Tanzania



Chanzo: Millard Ayo

Mwenye hii video naomba anirushie whatsaap.
 
Mradi mkubwa wa ujenzi wa mji mpya wa Kigamboni jijini Dar es Salaam uitwao Dege Eco Village, ulioanzishwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya jamii 'NSSF' ulisimama mwaka 2016 huku ikiripotiwa kuwapo kwa ufisadi wa zaidi ya TSH bilioni 179 katika mradi huo.
Cha kufahamu ni kwamba sasa anatafutwa muwekezaji kwenye mradi huo na kazi hiyo wamepewa kampuni ya udalali ya Yono

Mradi huo unaelezwa kuwa na thamani ya dola za Kimarekani milioni 350 sawa na shilingi bilioni 78 za Tanzania



Chanzo: Millard Ayo

Point of correction, usd 350 million ni sawa na 780 billions
 
Serikali iliyopita haikuanzisha chochote. Rais alikuwa hana time, ni ilikuwa ni kuponda mali na kusafiri tu. Ilikuwa ni serikali ya kihuni na wizi mutupu kila kona. Chini ya Kikwete watu walikuwa wakiitafuna Tanzania utafifikiri nchi ilikuwa haina kiongozi. Kusema miladi ilianzishwa na uongozi uliopita inakuumbuwa hujui jawabu la moja kujumulisha moja, serikali zilizopita zimewaangusha Watanzania kwa wizi wa kimachomacho. Imewasaidia kwa Kuwa wengi wetu hatuna elimu bora ya kujuwa tumeibiwa tunashangilia uongozi uliopita. Ni AIBU kwa taifa. Kenya wanaiba lakini hawaibi kijinga kama viongozi wetu, wanapewa kitu kidogo, wageni wanabeba kila kitu. Wizi wa Tanzania ni wakijinga.

Mie niliwahi kuwa na Vijana wawili kwny Duka langu la dawa 'Pharmacy '

1) Mmoja alikuwa anauza Mpaka dawa za laki 3 kwa Siku lakin nikapewa taarifa za Siri na mtu Mmoja kuwa huwa ananiibia kwa kupandiaha bei sana na cha juu anachukua

Akaniletea Kijana Mmoja Mlokole Fulani hivi haibi ni Mtu wa Maadili sana lakin mauzo yalishuka mpaka karibu na elf 60 kwa Siku akiuza sana,

Baada ya kutafakari mustakbali wa Biashara yangu nilimrudisha Yule 'Mwizi' aendelee kuniibia lakin Bishara yangu nami iende vizuri.
 
nssf ma director ni matajiri wa kutupa.. wamepiga sana hela kwenye hii miradi...

hapo bei waliyonunua kiwanja ukiambiwa utalia... msumari kilo moja tu unakuta wamenunua laki 1....

hapo wame inflate bei za vifaa si mchezooo
Negativity kwa kila mtu akifanikiwa ni hatari kwa nchi hii. Vision yao ilikuwa nzuri lkn naona NHC iwanaweza kuingia kwenye hasara kwa sababu ya mtazamo ya kiuchumi ya leo.
 
Serikali patia NHC huo mradi. Recover fedha ya NSSF warudishieni mpeni NHC hiyo mega project...achaneni na mpango wa kuwapa watu waugeuze uswazi...waliopiga watafutwe wawe brought to book akiwemo CEO wa NSSF wakati mradi ukitekelezwa
 
Dau na genge lake (management ya zamani ya NSSF) wanapaswa kuchukuliwa hatua sasa
Wameliumiza sana taifa hili
Mara udini katika ajira, ufisadi, tenda za kupeana, matumizi mabaya ya pesa za uma
Kama unao ushahidi kawafungulie kesi mahakamani mkuu
 
Back
Top Bottom