Mradi wa Salama waterfront ufukwe wa Coco

Mradi wa Salama waterfront ufukwe wa Coco

Game Theory

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2006
Posts
8,546
Reaction score
881
Huu mradi umeishia wapi?

Nawasilisha.




nb: Watu wa Ulaya na USA najua mtaanza ohh lete data zaidi.Sio kosa langu nyie kukaa nje na kuwa out of touch with whats going on the ground.
 
huuu mradi umeishia wapi?

nawasilisha.
Ni takribani miaka minne sasa... what went wrong - who knows!

Anyway, mji gani huo unaweza kuwa na "world class waterfront" huku usafiri mkuu ni vipanya?!
 
huuu mradi umeishia wapi?

nawasilisha.




nb: watu wa Ulaya na USA najua mtaanza ohh lete data zaidi...sio kosa langu nyie kukaa nje na kuwa out of touch with whats going on the ground

Mpaka sasa ishu hajulikani kabisa na miaka inazidi kwenda!!
 
...mmmh, kwani uhusiano kati ya CPCS na TPA uliingia ingia chenga vipi tena?!!

CPCS was mandated to concession the operations and equipment of the Container Terminal (CT) at the Port of Dar es Salaam in Tanzania. The aim of this privatization was to ensure greater efficiency improvements to the users of the CT by the cost effective operations of a private operator.

AND

The concessioning of the Container Terminal was successfully completed and the operating lease awarded to International Container Terminal Services Inc. (ICTSI). The period of the concession was recently extended up to 2025.

And the story keep going....
 
Imetoka tender ya kutengeneza bike and walking/running track from Azania beach along the coast to Sea Cliff hotel in Masaki. hii ni katika kuboresha waterfont ya jiji letu la mnyalukolo Lukuvi.

Incidentally, magazeti ya jana yamereport kuwa zinatafutwa shilingi trilioni 2 hivi kuukarabati jiji la Dar liwe na hadhi ya kimataifa zaidi. Labda waterfront ni mojawapo ya mradi hiyo.
 
huuu mradi umeishia wapi?

nawasilisha.

Mie nauliza hii Bahari Beach Project ni ipi, nimeikuta hapa
Bahari Beach Project Main Page

inaonyesha tayari inaendelea, inavutia sana hasa ukiplay hiyo movie yake!
but will this ever come true? hii miji ya mfano itapendeza kama itumike kweli kama mfano wa kuboresha maeneo mengine pia, vinginevyo italeta ubaguzi kama itakuwa tofauti sana na sehemu nyingine kwa upendeleo inayopewa.
 
Hivi majuzi mradi wa DART (Dar es Salaam Rapid Transit), yaani, mabasi yaendayo kasi, ulitangaza zabuni ya wabunifu (architects) kuchora njia ya baiskeli pamoja na waterfront, itakayoanzia bandarini (Old Post Office...?) hadi Upanga, na mwishowe, Oysterbay (Coco) Beach, kupitia upande wa Magogoni/Kivukoni Front.

Ninahisi Salama Waterfront imemezwa na DART, lakini sina uhakika.

./MwH
 
Incidentally, magazeti ya jana yamereport kuwa zinatafutwa shilingi trilioni 2 hivi kuukarabati jiji la Dar liwe na hadhi ya kimataifa zaidi. Labda waterfront ni mojawapo ya mradi hiyo.

Kwanza wahakikishe vyoo vina maji na takataka zinazolewa kila siku, hii haihitaji fedha nyingi kuboresha hadhi.

Iweje Moshi usifike kama mji msafi Afrika na Dar ambapo ni makao makuu ndipo pachafu kupindukia?
 
Hivi majuzi mradi wa DART (Dar es Salaam Rapid Transit), yaani, mabasi yaendayo kasi, ulitangaza zabuni ya wabunifu (architects) kuchora njia ya baiskeli pamoja na waterfront, itakayoanzia bandarini (Old Post Office...?) hadi Upanga, na mwishowe, Oysterbay (Coco) Beach, kupitia upande wa Magogoni/Kivukoni Front.

Ninahisi Salama Waterfront imemezwa na DART, lakini sina uhakika.

./MwH

I cant wait to see hiyo blue print
 
huuu mradi umeishia wapi?

nawasilisha.




nb: watu wa Ulaya na USA najua mtaanza ohh lete data zaidi...sio kosa langu nyie kukaa nje na kuwa out of touch with whats going on the ground

Sasa kama wewe uko in-touch, kwa nini unaulizia tena?
 
Mie nauliza hii Bahari Beach Project ni ipi, nimeikuta hapa
Bahari Beach Project Main Page

inaonyesha tayari inaendelea, inavutia sana hasa ukiplay hiyo movie yake!
but will this ever come true? hii miji ya mfano itapendeza kama itumike kweli kama mfano wa kuboresha maeneo mengine pia, vinginevyo italeta ubaguzi kama itakuwa tofauti sana na sehemu nyingine kwa upendeleo inayopewa.

Naona kwanza sijui inajengwa na Wachina. Maana mziki/tune inayosikika kwenye background ya movie, ni wa kichina.
Ningependa kukuunga mkono kuwa style kama hii inaleta ubaguzi na kuongeza matabaka nchini, maana inaoneka itakuwa sehemu ghali ya kuishi.
 
Natumaini wanamazingira waliupiga vita wakidai viumbe vingi vitanyakwa haki nyingi ikiwa pamoja na haki ya kuishi. Hebu tuwasikie wengine.
 
Imetoka tender ya kutengeneza bike and walking/running track from Azania beach along the coast to Sea Cliff hotel in Masaki. hii ni katika kuboresha waterfont ya jiji letu la mnyalukolo Lukuvi.

Incidentally, magazeti ya jana yamereport kuwa zinatafutwa shilingi trilioni 2 hivi kuukarabati jiji la Dar liwe na hadhi ya kimataifa zaidi. Labda waterfront ni mojawapo ya mradi hiyo.

Jitu halina mapungufu yoyote kimaumbile lakini linajinyea na lichafu... halafu wewe kwa kufikiria ni mtashi unalinunulia suti mpyaaa eli ling'ae na kuonekana pasnaa!!! Mweeee...

Unadhifu wa pahala unategemea sana ustaarab wa wanajamii. Hizi cures badala ya kinga hazitatufikisha mbali. Kuna vimiji hata vijiji ambavyo wala havina infrastructures na ma projects makubwa makubwa ya mabillioni ya pesa, but mtu unatamani mandhari na ustaarab wa mambo yaliyopo.

Ndiyo Dar ina population kubwa, but in my opinion kwa ustaarab uliopo amongst the majority chochote kile kitakacholetwa hata kiwe cha bei gani, kama population hii haitatungiwa sheria zinazotekelezeka na kuhimizwa kwenye masuala mbalimbali, hususan ustaarab, kitu hicho kitaharibika within no time.
Tumejionea jinsi vile uwanja wa mpira ulipofunguliwa ulivyokuwa vandalised kwenye game ya kwanza tu ndani ya pitch ile. Mara uzio ikabidi wauzungushie mabati ili watu wasiharibu!! Mifano hii na mingine mingi tell a lot about Dar population!
 
Salama water front in pics. Its a serious project. Bongo itakuwa kama ulaya...! Check these pics..!
 

Attachments

  • UD1-1.jpg
    UD1-1.jpg
    44.2 KB · Views: 103
  • UD1-2.jpg
    UD1-2.jpg
    31.6 KB · Views: 95
  • UD1-3.jpg
    UD1-3.jpg
    30.6 KB · Views: 79
  • UD1-4.jpg
    UD1-4.jpg
    20 KB · Views: 83
  • UD1-5.jpg
    UD1-5.jpg
    31.5 KB · Views: 86
Back
Top Bottom