Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Imeelezwa kuwa mradi huu wa mabilioni ya fedha ulibuniwa na kufanyiwa upembuzi yakinifu mwaka 2002.
Mkurugenzi wa Mradi huo akihojiwa na Radio Clouds mwanzoni mwa wiki hii alisema hadi kufikia mwaka 2004 karibu kila kitu kilikuwa tayari kwa ajili ya mradi huo kuanza.
Swali ninalojiuliza, Serikali ya awamu ya nne inakaribia kumaliza nusu ya ngwe yake ya mwisho na bado dalili za kuendelea mradi huu hazipo. Je, ni kwamba serikali imefuja pesa za mradi huu muhimu? Na kwanini serikali ya awamu ya nne ijigambe kuwa wao ndio wenye mradi huu wakati huu ulikuwa mwendelezo wa jitihada na ubunifu uliotukuka wa Benjamin William Mkapa?
Na kama hata mradi huu sio wa serikali ya awamu ya nne serikali hii itamaliza muda wake kwa kutekeleza mradi gani muhimu wa kuukumbuka?
Mkurugenzi wa Mradi huo akihojiwa na Radio Clouds mwanzoni mwa wiki hii alisema hadi kufikia mwaka 2004 karibu kila kitu kilikuwa tayari kwa ajili ya mradi huo kuanza.
Swali ninalojiuliza, Serikali ya awamu ya nne inakaribia kumaliza nusu ya ngwe yake ya mwisho na bado dalili za kuendelea mradi huu hazipo. Je, ni kwamba serikali imefuja pesa za mradi huu muhimu? Na kwanini serikali ya awamu ya nne ijigambe kuwa wao ndio wenye mradi huu wakati huu ulikuwa mwendelezo wa jitihada na ubunifu uliotukuka wa Benjamin William Mkapa?
Na kama hata mradi huu sio wa serikali ya awamu ya nne serikali hii itamaliza muda wake kwa kutekeleza mradi gani muhimu wa kuukumbuka?