Mradi wa kushona viatu na kuuza

Mradi wa kushona viatu na kuuza

Wa makoroboi Mwanza. Tena kuna wakaka wanajifunza Viatu na mikanda ya ngozi.
 
nicheck kwa number hii +258866131115 whatsapp njoo mozambique tupige kazi.
asante mkuu, lakini nadhani kwasasa nitaanzia hapa tanzania kwakuwa bado kuna fursa nyingi kisha nitakapokuwa zaidi kibiashara ndipo nitatafuta masoko ya nje. kama ukishindwa ndani kwako unapopafahamu vizuri ni vigumu kwenda kufanikiwa nje ya nchi yako usipokujua
 
Nipo Dar, jamani hii kazi ya kutengeneza viatu inalipa na kama utatengeneza viatu na ukawa na Brand yako basi utatoka

naommba nijuzwe haya:

1. wapi inapatikana vifaa vya kuweka namba
2. wapi unaweza tengenezewa mashine ya kuweka brand katika viatu vyako
3.wapi unaweza pata plastiki zinazotumika kusize viatu?

niliwahi kusikia kuwa vitu hivi vinapatikana msasani Dar, mwenye taarifa zaidi basi atujuze
 
Asante kwa mchango wako mkuu. Upo sahihi kabisa, ningeuliza kuhusu kufanya biashara ya uchuuzi kama kuchukua nguo China wachangiaji wengi wangekuja. Hii ni changamoto kwetu watanzania tujitahiji kubadilika, tuige wachina, producers ni wengi kuliko consumers

Una mtu hata mmoja unayemfahamu ambaye anafanya hii biashara kwakuwa kabla sijaanza nahitaji kutembelea watu wanaofanya biashara hii ili nijifunze meng kutoka kwao.

tabata kuna jaamaaa ana kakiwanda pia jaribu kuwauliza Tanzania leather association.
 
Ushauri wote waliotoa wadau ni mzuri sana,ufanyie kazi huwezi toka hivi hivi,kikubwa ni uthubutu tuu,kwa nn tushindwe sisi?kila kitu kitoke nje?lazima tukubali kuumia ili mwisho tuone matunda ya jitihada,big up sana wazo zuri mnoo
 
Ushauri wote waliotoa wadau ni mzuri sana,ufanyie kazi huwezi toka hivi hivi,kikubwa ni uthubutu tuu,kwa nn tushindwe sisi?kila kitu kitoke nje?lazima tukubali kuumia ili mwisho tuone matunda ya jitihada,big up sana wazo zuri mnoo
unazidi kunipa moyo sana mkuu, barikiwa. very soon ntaanza
 
nitafute 2zungumze maana nimefanya hy kazi maaeneo ya gongo la mboto na hata hp tabata napafaham. 0659865639
 
Yaani ulipozungumzia swala la veta umenipa wazo kubwa sana, maswali yangu yote nadhani hawa jamaa watanijibu kama watatoa ushirikiano wa kutosha

mkuu ukifanikiwa kupata taarifa za kina tafadhari sana nijuze hata kwa pm.
 
1. Angalia au anza na kutafuta oda kwenye makampuni ambayo watakupa specifications za nin cha kuwatengenezea.
2. Nenda india katafute a complete set ya vifaa na utaalamu.
3. Tafuta vijana wenye atleast huo mwanga wa kutengeneza viatu na bidhaa za ngozi.
4. Maintain quality and standards. Bongo wanunuzi wapo ila hakikisha uchakachui ubora.
5. Fanya marketing ya uhakika.
 
1. Angalia au anza na kutafuta oda kwenye makampuni ambayo watakupa specifications za nin cha kuwatengenezea.
2. Nenda india katafute a complete set ya vifaa na utaalamu.
3. Tafuta vijana wenye atleast huo mwanga wa kutengeneza viatu na bidhaa za ngozi.
4. Maintain quality and standards. Bongo wanunuzi wapo ila hakikisha uchakachui ubora.
5. Fanya marketing ya uhakika.
Asante Bulldog , mawazo yako nimeyachukua kama yalivyo.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hivi hawa wanaonunua ngozi za ng'ombe ndo huwa wanawapelekea Arusha?

Ngozi hata huku Arusha zinanunuliwa halafu zinapelekwa Kenya tena tunaenda kununua ngozi Kenya ili tuzitumie, halafu tunalia shilingi ikiporomoka.
 
Back
Top Bottom