Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
- Thread starter
- #41
Ngozi hata huku Arusha zinanunuliwa halafu zinapelekwa Kenya tena tunaenda kununua ngozi Kenya ili tuzitumie, halafu tunalia shilingi ikiporomoka.
Yaani nchi nzima hatuna hata kiwanda kimoja cha kuprocess ngozi? ni aibu kwa kweli