BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,032
- 3,944
Nimemsikia Tido akiuelezea huu mradi katika kipindi cha Pongezi za mwaka mpya kilicho rushwa na Radio yao na aliielezea kuwa unategemewa kuanza majaribio katika mwezi huu wa January kwa Mkoa wa Dar kwa kuanzia na wale wanaohitaji watatakiwa kuwa na Decoder na alisema kwa kuanzia itakuwa na channel zisizopungua 40 ila alifafanua na kusema kuwa inategemewa kuwa na channel kama 200 hivi ambazo zitalipiwa kwa bei nafuu. ukilinganisha na DSTV.
...Mkuu Firdous, Una taarifa yoyote kama hii kitu imeishaanza ili tujimwage?? Nahofia isije ikawekewa Zengwe na jamaa wa nanihii ikaishia kwenye makabrasha! Bongo hii Tunaijua.