This is good. Tatizo mambo ya nchi hii inatuweka hasara sana kabla mambo hayakaa sawa. Nilikuwa na dikoder ya GTV. Jamaa wakafunga ofisi wakatuacha hewani mpaka leo. Nikajiunga na DSTV shingo upande kwa sababu jamaa ni ghali sana na wameendelea kuwa ghali kwa sababu hawana compititors. Nikaona wananifilisi bure nikaachana nao. Nimebeki na madicoder ambayo sina kazi nayo. Hii iki take off vizuri nitatupa hayo matakataka ya DSTV. Muhimu waache uhuni wafanye kazi na sisi tutawaunga mkono