NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
http://api.ning.com/files/0*SPvhdo8...B-tps*UG*Rh5gdKTxCGvbgPUJx4Tf86E/DSC05190.JPG
<?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-comfficeffice" /><o></o>
Nilikuwa na WIVU sana home gal
Asante Rose kwa bahati mbaya tulipiga picha moja tu tulikuwa shuleni moshi vijijini hapo
he he he mkuu skujua kama ulikuwa jeshi la mgambo! halaf hii picha inaonesha mlikuwa mnacheza baba na mama porini nyinyi.dah!
Mpwa nina imani anamgombea mwenza huyo! Zingatia vigezo na mashariti. Nina imani Mzenj hatosoma hii post ya Masa
Naam Nguli umeshamwoa huyu ama bado unaotea moto tu!
mie nimefurahi umekuwa na courage ya kuweka picha yenu hapa,
ningependa kuona harusi na sherehe mbalimbali za wana JF kwenye jukwaa hili!
tayari na tuna ka litle Nguli kamechukua rangi ya mama yake,