FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,867
- 5,068
Ila mimi nalia na hawa mabwana shamba na TMA...wako wapi?.Na Serikali haijaleta ukame wala jua
Jamaa yangu Arusha alihadaika na ile mvua akakimbilia kupanda mahindi...saa hizi yamechomoza yanasubiri wakati ukiwadia yafe...maana jua linawaka....kama angepata taarifa kuwa zile mvua sio za kutumaini asingepoteza nguvu zake bure.
