Salam Wana JF
Nimekuwa nkifatilia Kwa Muda kilimo Cha Mpunga, japo sjaingia rasmi.
Mwaka huu nmenunua Mpunga kwa wakulima na kuweka store nkisubiri bei zipande niuze nipate faida.
Nahitaji wenye uzoefu kwenye hilo eneo Kwa muda mrefu je, kipi Bora kununua kutoka Kwa wakulima au Kulima mwenyewe na kupeleka sokoni baada ya mavuno?
Kama itawezekana piah tupeane na maeneo mazuri ya kupata mashamba hata kama ya kukodi na mtaji hasa kama unataka kulima Kwa faida.
Asanteni.
Nimekuwa nkifatilia Kwa Muda kilimo Cha Mpunga, japo sjaingia rasmi.
Mwaka huu nmenunua Mpunga kwa wakulima na kuweka store nkisubiri bei zipande niuze nipate faida.
Nahitaji wenye uzoefu kwenye hilo eneo Kwa muda mrefu je, kipi Bora kununua kutoka Kwa wakulima au Kulima mwenyewe na kupeleka sokoni baada ya mavuno?
Kama itawezekana piah tupeane na maeneo mazuri ya kupata mashamba hata kama ya kukodi na mtaji hasa kama unataka kulima Kwa faida.
Asanteni.