Bunguabongo
Member
- Jan 12, 2011
- 30
- 27
Nimekuwa nikitumia power tiller kwa muda wa miaka miwili sasa. Nimeona mafanikio makubwa sana kwa sisi vijana na hasa tunaopenda kilimo cha mpunga. Hata hivyo, nimeamua kuiuza baada ya kukosa msimamizi kwa kuwa mimi ni mwajiriwa. Kama kuna mtu anahitaji nipo tayari kumuuzia. Nicheki DM tufanye biashara.
Nina uhakika utapata faida kubwa kwa wewe kijana mwenzangu uliye na muda wa kuinvest zaidi kwenye kilimo.
Nina uhakika utapata faida kubwa kwa wewe kijana mwenzangu uliye na muda wa kuinvest zaidi kwenye kilimo.