Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Lazaro pumba kinoma!
Mkuu hebu tumegee kwa undani. Baadhi yetu hatuko kwenye luninga sasa.
Lazaro pumba kinoma!
Nyalandu, Lazaro Samuel. Mbunge wa Singida kaskazini.
Nimefanikiwa kupata kujua alichoongea Lazaro...Lazaro anatafuta chep publicity.....hana lolote arudishe pesa zetu za summer camp.
"hata mkichukua mishahara yote ya wabunge ukawapa askari haitaleta mabadiliko"
Oya! Nazitype hizi ninayozisikia! So of coz kutakua kuna tofauti, lakini ni yale yale!