mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,855
- 8,253
Ndugu zanguni naomba kuwasilisha hoja ,kwa maoni yangu ningependa Mpoto apewe nafasi ya kutumbuiza kabla ya kuanza vikao vya CCM badala ya TOT ya Komba naamini mashairi ya Mpoto huenda yakawakumbusha waheshimiwa hali halisi ya Mtanzania wa kawaida kuliko hizo kwaya za mhe Komba kwani hakuna kipya katika tungo zake zaidi ya kuimba kwa kujikomba kwa wakulu,uwezo wake umefikia mwisho hana jipya ni sawa na Maximo na Taifa Stars(?) .