meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
ukimsikiliza waziri mponda unaweza kukadiria uwezo wake wa kielimu na kisiasa sio mkubwa.haonyeshi kuwa ni mtu wa kujiamini na kutetea kile anachokisema.kwa taarifa zisizothibitishwa ,mponda ni graduate wa london school of public health.nashindwa kuamini kama kweli huyu mzee alipata elimu yake kutoka chuo hiki.kama yupo aliyesoma nae atujuze zaidi.