...huyu jamaa anakipaji cha kuchekesha...hatumii nguvu nyingi...ana maneno yasiyokwisha...."bata hata awe mchafu vip, atataga yai jeupeee"
moja ya maneno yake jana kwenye KILI MUSIC AWARDS...
tupia vimbwanga/vijimaneno vyake vingine....
Sinaga hobbie naye
Kama huna hobbie naye mbona umechangia hapa? Ungepotezea tu.Sinaga hobbie naye
Sio kweli,naweza kawa na tv lakini siangalii hicho anachomaanisha... C lazima kumfahamu kwani yeye nani bana..Kama huna hobbie naye mbona umechangia hapa? Ungepotezea tu.
Jana alitolea mfano wa watu kama nyie ambao mnajidai hamumfahamu, eti kwani hamna TV kwenu! Kama mna TV lazima umfahamu mpoki!!
Mimi sioni kama anakipaji cha hivyo. Mpunga kitenesi, tonge kubwa kama rimau...
Wale wale..Sio kweli,naweza kawa na tv lakini siangalii hicho anachomaanisha... C lazima kumfahamu kwani yeye nani bana..
Si kila mtu unayemfahamu lazima na wengine wamfahamu mkuu...Wale wale..
Haya tulia, tuseme basi humfamu! Umefurahi eeh!