Wakuu samahani hivi viongozi WA timu zetu wanashindwa kuandaa mbinu za kukabiliana na maamuzi mabovu ya warefa WA hizi mechi kubwa.?
Leo ndio simba kafungwa lakini tulijua kabisa kuwa lazima mwamuzi atakuwa upande WA RS berkane.kwanini simba isingeandaa mbinu ya kukabiliana na hayo yalikuwa yanakwenda kutokea?
Ila poleni makolo timu hamna hamjui kupiga counter attacks gemu ilikuwa yenu hii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Leo ndio simba kafungwa lakini tulijua kabisa kuwa lazima mwamuzi atakuwa upande WA RS berkane.kwanini simba isingeandaa mbinu ya kukabiliana na hayo yalikuwa yanakwenda kutokea?
Ila poleni makolo timu hamna hamjui kupiga counter attacks gemu ilikuwa yenu hii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣