Mpira wa Afrika na kushindwa kujiandaa

Mpira wa Afrika na kushindwa kujiandaa

Tatizo simba mmezoea kubebwa na marefa, Simba mmebebebwa mechi kibao. Leo refa kawakazia mnamuona mchawi.

Hata mechi ya kwanza tu na berkane mlipunguziwa magoli kwa kubebwa na marefa.

Kuna mechi za nyuma mnacheza muda usioeleweka yaani mpaka mpate goli ndio mpira unaisha.

Wale wa south nusu fainali simba iliwafunga kwa kubebebwa na Var ila wao wakakataliwa goli lao na var.
Kwahivyo ulitakaje ulitaka goli la simba likataliwe hata kama ni halali kisa tu lilifungwa na simba, na ulitaka goli la stellenbosch likubaliwe hata kama siyo halali kisa tu lilifungwa na wapinzani wa simba, msitulazimishe tuwaone mashabiki wote wa yanga ni takataka hebu chambueni mpira msituletee huu upumbavu wenu
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;
View attachment 33459731. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Makelele SC.
5. Malalamiko/Lia lia SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyang'au SC.
8. Manyaunyau/Mapaka SC.
9. Mazumbukuku SC.
10. Mwakarobo SC.
11. Mbeleko/Bebwa bebwa SC.
12. Manguruwe SC.
13. Miso Misonda SC.
14. Mikia SC.
15. Mbuzi SC.
16. Zuwena SC.
17. Khamsa Khamsa/5imba SC.
18. Kufa Kiume SC.
19. Kikanuni SC.
20. Bahasha SC.
21. Ngada SC.
22. Kolowizards SC.
23. Kamdomo SC .
WAMEKWISHA
 
Kwahivyo ulitakaje ulitaka goli la simba likataliwe hata kama ni halali kisa tu lilifungwa na simba, na ulitaka goli la stellenbosch likubaliwe hata kama siyo halali kisa tu lilifungwa na wapinzani wa simba, msitulazimishe tuwaone mashabiki wote wa yanga ni takataka hebu chambueni mpira msituletee huu upumbavu wenu
VAR si ilikuwepo
 
Wakuu samahani hivi viongozi WA timu zetu wanashindwa kuandaa mbinu za kukabiliana na maamuzi mabovu ya warefa WA hizi mechi kubwa.?

Leo ndio simba kafungwa lakini tulijua kabisa kuwa lazima mwamuzi atakuwa upande WA RS berkane.kwanini simba isingeandaa mbinu ya kukabiliana na hayo yalikuwa yanakwenda kutokea?

Ila poleni makolo timu hamna hamjui kupiga counter attacks gemu ilikuwa yenu hii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mechi ya Simba na mashujaa iliche!wa kwa dk 120. Iliisha simba walipopewq prnalti
 
na ilitumika vizuri tu. watu iliwaacha washingilie kwa mbwembwe nayo ikaja kutoa maamzi yake
Ndio sasa mnachojilalamisha kwamba simba iliingia fainali kwa kubebwa na var ni nini
 
Wakuu samahani hivi viongozi WA timu zetu wanashindwa kuandaa mbinu za kukabiliana na maamuzi mabovu ya warefa WA hizi mechi kubwa.?

Leo ndio simba kafungwa lakini tulijua kabisa kuwa lazima mwamuzi atakuwa upande WA RS berkane.kwanini simba isingeandaa mbinu ya kukabiliana na hayo yalikuwa yanakwenda kutokea?

Ila poleni makolo timu hamna hamjui kupiga counter attacks gemu ilikuwa yenu hii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ukiona dalili za kubebwa, mnapambana haswa mpaka kieleweke. Kwa mfano, Kapombe alikosa goli la wazi, unahisi refa angekataa lile goli?

Sawa Berkane wamebebwa, je mmefika kwenye boksi mara ngapi na kuleta kashikashi?

Mmesababisha penati mkanyimwa pamoja na uwepo wa VAR?

Berkane walicheza kimbinu kuwazidi Simba. Nilitamani Simba afunge goli la pili mapema tu hapo ndipo mechi ingechangamka na kuwajua Berkane wapoje!
 
Back
Top Bottom