Mpira Umekosa Ladha

Mpira Umekosa Ladha

Pesa na tacticians wanaharibu the beautiful game, juzi nilikua namsikiliza kocha wa Reading aliyetimuliwa, anasema kwenye championship wanacheza open games, they pass the ball and players express their skills lakini ukiwa EPL ukijaribu kucheza hivyo jiandae kushuka daraja, kama huamin waulize Blackpool ya kina Charlie Adams, sasa imagine kwa ligi kama EPL inayoangaliwa zaidi duniani ili usurvive inabidi ucheze hovyohovyo, ukienda Spain ni ligi ya team mbili tu cku hzi na hiyo inatokana na pesa za mikopo walizonazo hizi team kubwa mbili na ndio clubs zenye madeni makubwa kati ya club kubwa za Ulaya.

Na kwa sababu pesa imekua too much kwenye club level mpaka inafikia kuua vipaji vya wachezaji wazuri kwa sababu ya ukwasi walionao (sihitaji kuwataja coz mnawajua) ndio maana soka la kimataifa limekosa ladha kabisaa. FIFA rushwa na siasa vimetawala. Tuombe uzima lakini cjui miaka 10 ijayo tutaona mpira wa aina gani kwa hii dunia ya sasa ambayo mungu wake ni pesa!

kwetu sie wa kitambo ndio tunaiona hii tofauti lakini wenyewe wa kizazi cha leo wanaona kumekucha!hamuwezi amini mechi za jana na leo sijatazama,na matokeo yamekuwa vile vile watu walivyohisi.zamani ukienda juve unakuta watu,ukienda man u watu,arsenal watu,Marseille,deportivo,valencia ya akina Mendieta,barca,Munich,leverkusen,Ajax.sasa leo watu wote wako madrid,barca,na hawa wanakopa bank huku wewe juve kwenu mikopo marufuku,viwanja ndio tunapata ruhusa ya kujenga miaka hii,timu zimefilisika,sio serie a ile huku napoli maradona,kule juve baggio,hapa milan van bastern,kule inter de lima,hapo fiorentina batigol,huku lazio Crespo,kule parma buffon,Nakata..hapo hujaja la liga ukamchungulia Rivaldo,Hiero na wenzao,hujaenda kwa Lars Ricken,effenburg na wenzao Bundesliga,hujarudi kwa Pele,Papin,Duggary,karembeu na wenzao pale league one,hujarudi kwa Davids mjini amsterdam,yaani nazunguka tu sijaingia Epl hapo mtanisaidia wenyewe,labda nimtaje jamaa yule wa Newcastle alikuwa ananirusha roho sana..Faustinoo..(Chomba malizia).ukienda Galatasaray unamkuta Hagi na yule jamaa anapiga mashuti ya vichwa Mario Jardel.hujarudi coppa libertadores uwakute river plate,flamengo na magoli ya hatari kabisa!yaani unashika remote unazunguuka tuu hujui utazame wapi!tangu 1990(nakumbuka mwaka huu nilitandikwa bakora shule kwa kuchafua daftari na picha za akina Biyick,Mfede,Milla,higuita,Cannigia,Donadoni) hadi 2002 ni rusha roho tuu!leo hii umtazame nani serie a,league one,holland?utaishia spain umtazame cr7 na messi wee hadi usinzie!
 
kwetu sie wa kitambo ndio tunaiona hii tofauti lakini wenyewe wa kizazi cha leo wanaona kumekucha!hamuwezi amini mechi za jana na leo sijatazama,na matokeo yamekuwa vile vile watu walivyohisi.zamani ukienda juve unakuta watu,ukienda man u watu,arsenal watu,Marseille,deportivo,valencia ya akina Mendieta,barca,Munich,leverkusen,Ajax.sasa leo watu wote wako madrid,barca,na hawa wanakopa bank huku wewe juve kwenu mikopo marufuku,viwanja ndio tunapata ruhusa ya kujenga miaka hii,timu zimefilisika,sio serie a ile huku napoli maradona,kule juve baggio,hapa milan van bastern,kule inter de lima,hapo fiorentina batigol,huku lazio Crespo,kule parma buffon,Nakata..hapo hujaja la liga ukamchungulia Rivaldo,Hiero na wenzao,hujaenda kwa Lars Ricken,effenburg na wenzao Bundesliga,hujarudi kwa Pele,Papin,Duggary,karembeu na wenzao pale league one,hujarudi kwa Davids mjini amsterdam,yaani nazunguka tu sijaingia Epl hapo mtanisaidia wenyewe,labda nimtaje jamaa yule wa Newcastle alikuwa ananirusha roho sana..Faustinoo..(Chomba malizia).ukienda Galatasaray unamkuta Hagi na yule jamaa anapiga mashuti ya vichwa Mario Jardel.hujarudi coppa libertadores uwakute river plate,flamengo na magoli ya hatari kabisa!yaani unashika remote unazunguuka tuu hujui utazame wapi!tangu 1990(nakumbuka mwaka huu nilitandikwa bakora shule kwa kuchafua daftari na picha za akina Biyick,Mfede,Milla,higuita,Cannigia,Donadoni) hadi 2002 ni rusha roho tuu!leo hii umtazame nani serie a,league one,holland?utaishia spain umtazame cr7 na messi wee hadi usinzie!

juve2020 ndio maana wakubwa wa UEFA kwa kuliona hili wanataka ku impose financial rules kwamba vilabu viiendeshe ndani ya uwezo wao,of course matajiri kina Abramovich nao wanakuna vichwa wakitafuta namna ya kufanya usanii (financial engineering) ili wakwepe madhara ya kanuni hii,ngoja tuone maana itaanza kuwa effective 2015 kama sikosei.
 
Last edited by a moderator:
kwetu sie wa kitambo ndio tunaiona hii tofauti lakini wenyewe wa kizazi cha leo wanaona kumekucha!hamuwezi amini mechi za jana na leo sijatazama,na matokeo yamekuwa vile vile watu walivyohisi.zamani ukienda juve unakuta watu,ukienda man u watu,arsenal watu,Marseille,deportivo,valencia ya akina Mendieta,barca,Munich,leverkusen,Ajax.sasa leo watu wote wako madrid,barca,na hawa wanakopa bank huku wewe juve kwenu mikopo marufuku,viwanja ndio tunapata ruhusa ya kujenga miaka hii,timu zimefilisika,sio serie a ile huku napoli maradona,kule juve baggio,hapa milan van bastern,kule inter de lima,hapo fiorentina batigol,huku lazio Crespo,kule parma buffon,Nakata..hapo hujaja la liga ukamchungulia Rivaldo,Hiero na wenzao,hujaenda kwa Lars Ricken,effenburg na wenzao Bundesliga,hujarudi kwa Pele,Papin,Duggary,karembeu na wenzao pale league one,hujarudi kwa Davids mjini amsterdam,yaani nazunguka tu sijaingia Epl hapo mtanisaidia wenyewe,labda nimtaje jamaa yule wa Newcastle alikuwa ananirusha roho sana..Faustinoo..(Chomba malizia).ukienda Galatasaray unamkuta Hagi na yule jamaa anapiga mashuti ya vichwa Mario Jardel.hujarudi coppa libertadores uwakute river plate,flamengo na magoli ya hatari kabisa!yaani unashika remote unazunguuka tuu hujui utazame wapi!tangu 1990(nakumbuka mwaka huu nilitandikwa bakora shule kwa kuchafua daftari na picha za akina Biyick,Mfede,Milla,higuita,Cannigia,Donadoni) hadi 2002 ni rusha roho tuu!leo hii umtazame nani serie a,league one,holland?utaishia spain umtazame cr7 na messi wee hadi usinzie!
Miriam Makeba- Pole Mze - YouTube
Pole pole mzee,pole pole mzee,pole pole bibi kizee(Juve) kwa kufungwaaaaaa!
 
juve2020 ndio maana wakubwa wa UEFA kwa kuliona hili wanataka ku impose financial rules kwamba vilabu viiendeshe ndani ya uwezo wao,of course matajiri kina Abramovich nao wanakuna vichwa wakitafuta namna ya kufanya usanii (financial engineering) ili wakwepe madhara ya kanuni hii,ngoja tuone maana itaanza kuwa effective 2015 kama sikosei.
kwanza kabisa karibu sana jf mkuu wangu...heshima kwako mkuu
 
WC 94
usa walikua na mtu anaitwa ales lalas.goli alikua Tony mela
brazil walikua na tafarel,romario...dah..ronadldo de lima yuko benchi
kuna yule wa colombia anlikua na manywele mengii...kipa wao renee higuita
Companero..unatumbusha mbali sana
 
Last edited by a moderator:
WC 94
usa walikua na mtu anaitwa ales lalas.goli alikua Tony mela
brazil walikua na tafarel,romario...dah..ronadldo de lima yuko benchi
kuna yule wa colombia anlikua na manywele mengii...kipa wao renee higuita
Companero..unatumbusha mbali sana

benchi la brazil lilikuwa noma, kuna siku walimuingiza viola alifanya mambo ya ajabu kuliko hata kina bebeto!
 
juve2020 ndio maana wakubwa wa UEFA kwa kuliona hili wanataka ku impose financial rules kwamba vilabu viiendeshe ndani ya uwezo wao,of course matajiri kina Abramovich nao wanakuna vichwa wakitafuta namna ya kufanya usanii (financial engineering) ili wakwepe madhara ya kanuni hii,ngoja tuone maana itaanza kuwa effective 2015 kama sikosei.

karibu sana Jf mkuu.yah,nimesikia hiyo kitu huenda ikasaidia lakini pia kuna factors nyingine ambazo ni very challenging.kwa mfano uchumi wa italia kwa ujumla unayumba sana,sasa hadi mambo yakae sawa na ligi yao irudi ilipokuwa sio suala la siku moja.pia sielewi ni kwa nini wachezaji wa aina ya akina Gaucho,maradona,n.k siku hizi wanahesabika.mpira umekuwa wa darasani sana kuliko talents.hili linatuboa sana sie wa zamani kwa kweli!kwa ujumla kuna social changes nyingi duniani zinazoathiri kila angle ya maisha yetu perhaps ndio hizi zinatutengenezea "watu wapya,wachezaji wapya na soka jipya" leo.Sembuli,Mogella na Ngasa ni binadamu tofauti socially,na hivyo pia approach yao to the game itakuwa tofauti!
 
Last edited by a moderator:
Miriam Makeba- Pole Mze - YouTube
Pole pole mzee,pole pole mzee,pole pole bibi kizee(Juve) kwa kufungwaaaaaa!

haya bwana,dah!hii yote Calciopoli ndio imetufikisha hapa.kama Juve ya akina ibra ingebakia serie a nakuambia usingekuwa unanipa pole saa hizi.tuna miaka mitano mbele ya kurudi tulipokuwa.ila uchumi unachangia sana tofauti ya soka leo.sijui italia ikifilisika wengine tutafanyaje!
 
huwezi kuizungumzia lazio ya wakati huo bila kumtaja Giuseppe "Beppe" Signori



wanikumbusha mbali wewe,kuna mtu aliitwa Daniele Massaro unamkumbuka?halafu kuna jamaa wa A.s roma ana mdomo mkubwa aliitwa Damiano Tommasi,unamkumbuka?kuna mjerumani mmoja hivi aliitwa Karlheinz Riedle unampata?unaikumbuka ile tik tak ya Anthony Yethony Yeboah akiwa Eintracht Frankfurt?ni balaa tupu enzi hizo!unaonaje?unafikiri kuna jipya huko mbele au ndio tuhitimishe mambo kwa kukiita kizazi hiki cha miaka ya themanini na tisini kuwa ni Golden age?
 
Last edited by a moderator:
Hahaa, yaani ukimuona Ronaldo Assis a.k.a 'Little Ronaldo' unachanganyikiwa - of course alikuwa mkali, ila sio kumzidi wajina wake!

Christian Karembeu

christian-karembeu.jpg
 
huwezi kuizungumzia lazio ya wakati huo bila kumtaja Giuseppe "Beppe" Signori




Wanaitwa SS Lazio Roma...
1. Peruzzi
2. Paolo Negro
3. Sinisa Mihajlovic
4. Fernando Couto
5. Alesandro Nesta
6. Diego Simeone
7. Claudio Lopez
8. Juan Sebastian Veron....

Soka lilikuwa miaka ile Mungu hajaondoka Duniani...
 
Last edited by a moderator:
kwetu sie wa kitambo ndio tunaiona hii tofauti lakini wenyewe wa kizazi cha leo wanaona kumekucha!hamuwezi amini mechi za jana na leo sijatazama,na matokeo yamekuwa vile vile watu walivyohisi.zamani ukienda juve unakuta watu,ukienda man u watu,arsenal watu,Marseille,deportivo,valencia ya akina Mendieta,barca,Munich,leverkusen,Ajax.sasa leo watu wote wako madrid,barca,na hawa wanakopa bank huku wewe juve kwenu mikopo marufuku,viwanja ndio tunapata ruhusa ya kujenga miaka hii,timu zimefilisika,sio serie a ile huku napoli maradona,kule juve baggio,hapa milan van bastern,kule inter de lima,hapo fiorentina batigol,huku lazio Crespo,kule parma buffon,Nakata..hapo hujaja la liga ukamchungulia Rivaldo,Hiero na wenzao,hujaenda kwa Lars Ricken,effenburg na wenzao Bundesliga,hujarudi kwa Pele,Papin,Duggary,karembeu na wenzao pale league one,hujarudi kwa Davids mjini amsterdam,yaani nazunguka tu sijaingia Epl hapo mtanisaidia wenyewe,labda nimtaje jamaa yule wa Newcastle alikuwa ananirusha roho sana..Faustinoo..(Chomba malizia).ukienda Galatasaray unamkuta Hagi na yule jamaa anapiga mashuti ya vichwa Mario Jardel.hujarudi coppa libertadores uwakute river plate,flamengo na magoli ya hatari kabisa!yaani unashika remote unazunguuka tuu hujui utazame wapi!tangu 1990(nakumbuka mwaka huu nilitandikwa bakora shule kwa kuchafua daftari na picha za akina Biyick,Mfede,Milla,higuita,Cannigia,Donadoni) hadi 2002 ni rusha roho tuu!leo hii umtazame nani serie a,league one,holland?utaishia spain umtazame cr7 na messi wee hadi usinzie!


Faustino Tino Asprilla mtoto wa kihuni toka Bogota Colombia.

Dah
 
wanikumbusha mbali wewe,kuna mtu aliitwa Daniele Massaro unamkumbuka?halafu kuna jamaa wa A.s roma ana mdomo mkubwa aliitwa Damiano Tommasi,unamkumbuka?kuna mjerumani mmoja hivi aliitwa Karlheinz Riedle unampata?unaikumbuka ile tik tak ya Anthony Yethony Yeboah akiwa Eintracht Frankfurt?ni balaa tupu enzi hizo!unaonaje?unafikiri kuna jipya huko mbele au ndio tuhitimishe mambo kwa kukiita kizazi hiki cha miaka ya themanini na tisini kuwa ni Golden age?

Damiano Tommasi uso mzima umejaa Ndevu na nywele zake kalikiti...
anapiga shuti kuanzia Kariakoo mtaa wa Lindi mpaka Mlandizi...
 
Sio mpira wa nje tu ata huu wetu kwisha..enzi zile ukisikia Tp lindanda Pamba..Paul rwechungula...david mwakalebela..abdallah bori..george masatu..khalfan ngassa..maonwa nkami...hussein masha..fumo felician...john makelele...etc mtangazaji dominic chillambo..rip..njoo mbeya mecco..tukuyu stars...coastal union..african stars...majimaji ya sikinde mbunga..nyota nyekundu etc...yaani TZ tulishindwa kuuza wachezaji kwenye ligi kubwa kipindi kile sijuhi ni lini tutawezakuwauza
 
Mmenikosha sana na uchambuzi mzuri, nimemis maufundi ya Zidane sana, mnakumbuka game ya madrid vs liverkusen uefa champions
 
Kilichotokea si kwamba wachezaji hawapo, bali fedha zimeharibu mpira. Nafasi ya timu zisizo na fedha kuonekana ni finyu kwa kuwa soka imekuwa monopolized na wenye fedha kiasi hakuna balance of power.

By the way, Messi juzi kamdhihirishia Gang Chomba kuwa ni yeye ndie anaibeba Barcelona kinyume na mdomo wa Gang wenye roho mbaya kiasi cha kusema bila Xavi na Iniesta Messi hafanyi kitu. Imedhihirika kuwa bila Messi, hakuna wa kuimalizia kazi ya Xavi na Iniesta hata wahangaike vipi.

Messi
Wilshere
Ronaldo
Lucas
Isco
Cazorla
Veranne

Vijana wapo, kilichoharibika mifumo
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom