Guardiola alipoingia aliimarisha na kukuza chipukizi kama Pedro na Busquets,na kumrudisha Pique kwanza akaja Fabregas,akawaondoa kina Deco,Gaucho,Yaya,Bronkhorst nk,na ikawa Barca wengi waspain 1 eleven na La Masia kiasi ndio iliyopelekea Spain kubeba world cup na wachezaji wapatao 7 Barcelona na 9 ni zao la La Masia hapo La Masia kulikuwa na Reina,Valdes,Puyol,Pique,Busquets,Fabregas,Xavi,Pedro,Iniesta wakati ukizungumzia waliokuwa Barca ni kumuondoa Reina na Fabregas wakati huo 2010 hapo,ndio walioleta heshima na hadhi Spain na Barcelona kwa ujumla hao La Masia,kwa sasa kwa kweli kocha Barcelona sio mtaalam kama alivyokuwa Guardiola,listi hasa Roura anakuwa kama anakariri kikosi,ila Guardiola tunamkumbuka sana.