asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
ha ha ha ha ha hakika ili uwe buku 7 lfc inabidi akili zako uziweke mfukoni.
Aache wendawazimu , yeye amekuwa mwenyekiti wa mkoa wa tabora kwa vipindi vitatu mfululizo kwa kutumia katiba hiyohiyo halafu leo anataka itumike kwa mbowe, what a shame.