Inawezekana ana uhusiano na CCM guyu maana hata mwenyekiti CCM mkoa wa Shinyanga HAMIS MGEJA alimpongeza kuamua kugombea kwake uenyekiti wa chadema taifa katika mkutano mmoja wa hadhara uliofanyika ngokolo mtumbani mwanzoni mwa mwezi huu,maana kulikuwa na hila za kila aina ili mbowe asiwe mwenyekiti ili chama kiyumbe,lakini wameshindwa kwa jina la Yesu wataendelea kuwa vibaraka lakini mwisho wa siku ni aibui wamwulize ZItto ambaye yuko njia panda anaangali gia ya kuondokea chadema na kuingilia ACT,washamba hao lakini wajue kuwa si rahisi kukabiliana na mtu aliyebeba kusudi la Mungu mpaka alitimize CHADEMA NI CHAMA KILICHOLETWA NA MUNGU na kimejengwa juu ya mwamba wala upepo wa ccm hautakitikisa