Mpinzani wa Mayweather

Duuh Rashidi kachoma mno, utafikiri hakuwa bingwa wa dunia. Kwelie Tanzania mwanamichezo akizeeka hana thamani Tanzania.
 
Tuachieni mabondia wetu jamani,bila ya hawa basi boxing ndio hatuna tena.Na kwa wanaosema wamechoka sijui kama kuna hata mmoja mwenye uwezo wa kusimama na japo mmoja wa hawa jamaa japo kwa raundi tatu ulingoni..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom