Tuachieni mabondia wetu jamani,bila ya hawa basi boxing ndio hatuna tena.Na kwa wanaosema wamechoka sijui kama kuna hata mmoja mwenye uwezo wa kusimama na japo mmoja wa hawa jamaa japo kwa raundi tatu ulingoni..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.