MPESA: Kutoa Tsh. 10, 000 wanakata Tsh. 1,500

MPESA: Kutoa Tsh. 10, 000 wanakata Tsh. 1,500

Halafu kutoa milioni 2 eti ni elfu 8[emoji134][emoji134][emoji134]
Wangepunguza makato kwenye hizi pesa ndogo jamani maana ndiko penye miamala mingi.
Hata 1M makato ni hayo hayo mkuu.
CRDB nao ukitoa 1M kwa fahari ni 5000+, etc.
Ni shida sana isee
 
Halafu kutoa milioni 2 eti ni elfu 8[emoji134][emoji134][emoji134]
Wangepunguza makato kwenye hizi pesa ndogo jamani maana ndiko penye miamala mingi.
Hizi ndogo ndiyo pesa zinazotumwa na kutolewa na watanzania wengi, mapato na matumizi ya wengi yapo hapo kati ya 5,000-50,000 na ndiyo kwenye faida zaidi kwenye makampuni ya simu.

Everyday is Saturday......................... 😎
 
Hizi ndogo ndiyo pesa zinazotumwa na kutolewa na watanzania wengi, mapato na matumizi ya wengi yapo hapo kati ya 5,000-50,000 na ndiyo kwenye faida zaidi kwenye makampuni ya simu.

Everyday is Saturday......................... 😎
Ndio maana nimesema watufanyie wepesi hapo kwenye pesa ndogo maana ndipo tunapopatumia zaidi.
 
Ndio maana nimesema watufanyie wepesi hapo kwenye pesa ndogo maana ndipo tunapopatumia zaidi.
Mkuu hawawezi kukubali, wapo kuwanyonga wanyonge..
Faida yao inategemea wanyonge siyo wateja wa million+..

Everyday is Saturday........................... 😎
 
Hivi tafsiri ya kuongeza makato ni mini? .. Au ndo kwamba gharama za kiundeshaji zimeongezeka? Au kushuka kwa thamani ya shilingi
Makato ya Kodi kwa hayo makampuni ya simu yanayotoa hiyo huduma huenda yapo juu.
 
Mitandao ya simu nchini inanaliwi sana, that is why unaona staff wananenepeana kama jamaa walioambiwa watafutiwe kasi nyingine.

Ukitoa 5000 wanakata 760 hapa ni kuangalia njia mbadala ya kutuma pesa.
Njia ya mabasi naona ndo nzuri zaidi
 
TCRA wamenabweka tu ila hawana meno
Walisema mitandao ya simu ipunguze gharama za MB internet bundles lakini ni yale yale tu hakuna kitu Mitandao ya simu hawajabadili
TCRA ya awamu hii,ina nguvu sana sana,,,sema hawajaamua tu
 
Kuna mtu alinipa hela yake nimuhifadhie kwa muda usiojulikana,nikaamua kuiweka kwenye Mpesa nikijua ataweza kuichukua kesho au kesho kutwa,hakuchukua,sasa ameniambia ataihitaji mwisho wa mwezi huu,nimeangalia makato nitakayotozwa kuitoa hiyo hela nikashtuka,itanilazimu kuzama mfukoni ili nijazie hela ya watu,najuta.
Mrushie kwenye sim
 
Ngoja na mm nifingue kibanda changu cha mpesa
 
Njia ya mabasi naona ndo nzuri zaidi
Ilikuwa kipindi cha Scandinavia Express but kwa sasa haiwezekani labda umpe konda na anayepokea awepo stendi ila unaweza kukuta garama ni sawa na zile za simu, maana kuna nauli za kwenda kupokea nk.
 
Ilikuwa kipindi cha Scandinavia Express but kwa sasa haiwezekani labda umpe konda na anayepokea awepo stendi ila unaweza kukuta garama ni sawa na zile za simu, maana kuna nauli za kwenda kupokea nk.
Ata kutuma tu utatuma mzigo kwenye basi la mtu free?
 
Back
Top Bottom