majany
JF-Expert Member
- Sep 30, 2008
- 1,223
- 579
Umeshawahi kujiuliza kwamba ikitokea umeamka asubuhi na kuambiwa moja ya makampuni ya simu yanayotoa huduma za kifedha yamefilisika.....???then what will happen to those money on air???simaanishi credit,namaanisha pesa zilizo kwenye akaunti za Mpesa,Airtel money na nyinginezo......
Kumbuka hakuna mamlaka zinazohakikisha kwamba depositors interests zitakua 'taken care'......
Kumbuka hakuna mamlaka zinazohakikisha kwamba depositors interests zitakua 'taken care'......