padlock
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 329
- 509
SASA KAMA UNAMTAKA UNAOMBA USHAURI WAKUCHEPUKA AU KUTAARIFU UMMA KUWA UKO TAYARI KUCHEPUKA HATA KAMA UMEOLEWA, AU NI UBOBEVU WA KUCHEPUKA NA KUWA HATA MABAHARIA HUMU WANAWEZA KUJA KUOMBA NASAHA KWAKO NA FARAGHA??? DADA TULIA NA NDOA YAKO ACHA KUTANGA TANGA NA FIMBO YA MIWA.Hello waungwana,niite Queen yes nimeolewa with two kids,Sasa bwana nina mpenzi wangu wa zamani kiufupi ni kwamba wote tunatakana tu hatukuwasiliana kama miaka saba hivi juz kati tumeanza mawasiliano tutakutana tutakiss kwenye gari ,nae ameoa na watoto wawili Sasa namuona kama vile hataki kuendelea kuwasiliana na mie ndo namtaka balaa ,nifanyeje?