Mpenzi wangu wa zamani ananipa mawazo

Mpenzi wangu wa zamani ananipa mawazo

Status
Not open for further replies.
Usiwachukie mkuu, mbona wanaume pia mnafanya haya haya ila sisi wanawake hatuwachukii?
Najaribu kuwaza ambavyo nitakuwa mwaminifu kwa mke wangu na kumtimizia mahitaji yote kumbe yeye anawatafuta ma ex wake mwenyewe kimyakimya, aloo inauma sana pengine hujui tu.
 
Hello waungwana,niite Queen yes nimeolewa with two kids,Sasa bwana nina mpenzi wangu wa zamani kiufupi ni kwamba wote tunatakana tu hatukuwasiliana kama miaka saba hivi juz kati tumeanza mawasiliano tutakutana tutakiss kwenye gari ,nae ameoa na watoto wawili Sasa namuona kama vile hataki kuendelea kuwasiliana na mie ndo namtaka balaa ,nifanyeje?
Usirudie tena.
Tubu na usirudie tena.
Siunaona kila mtu anakushangaa?Jizuie hata kama sio rahisi.
 
Mbona wanaume mnamsingiziaga shetani?
Hakuna siku mwanamke anayekubali kwamba ni makosa kufanya lazima afanye comparison na mwanaume...ngoja ni kwmabie mwanaume anapocheat sio kwamba hajui analolifanya ila anajua kabisa na kaamua mwenyewe na kusema shetani ni kutaka kusamehewa na mke wake ila mwanamke anafanya kwa kurubuniwa na upuuzi alioumbwa nao.
 
Bora niendelee kujiendeleza ni na PHD ya uzamilivu wa kuwa Baharia wa nchi kavu
Maana sio kwa Tz girl's hawa
 
kuchepuka ni umalaya na umalaya haina chamaa.
 
Hello waungwana,niite Queen yes nimeolewa with two kids,Sasa bwana nina mpenzi wangu wa zamani kiufupi ni kwamba wote tunatakana tu hatukuwasiliana kama miaka saba hivi juz kati tumeanza mawasiliano tutakutana tutakiss kwenye gari ,nae ameoa na watoto wawili Sasa namuona kama vile hataki kuendelea kuwasiliana na mie ndo namtaka balaa ,nifanyeje?
Unamtaka unataka gari lake tena ist
 
Haya ndio madhara ya kuoa mizoga, ukioa mwanamke ambae sio bikra au single mother huyo ni mzoga.
Hizi ndio hasara za kuoa mizoga, Mtu umeolewa bado una tamaa na Ex zako pumbavu kabisa.
NB:Mwanamke yoyote ambaye hana bikra au ni single mother huyo ni mzoga.
joka kuu
 
Najaribu kuwaza ambavyo nitakuwa mwaminifu kwa mke wangu na kumtimizia mahitaji yote kumbe yeye anawatafuta ma ex wake mwenyewe kimyakimya, aloo inauma sana pengine hujui tu.
Kama wewe utakuwa hauchepuki basi sawa hauna budi kuumia ila kama na wewe unachepuka sasa uumie ili iweje?

Si mla vya watu na vyake huliwa au? Hapa naongelea kwa wanaume wanaochepuka maana ndo wapo kwa asilimia kubwa
 
Wanawake wa kileo! Umeolewa na bado unahitaji tena mboo nyingine?!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaani sana si unaona wanavyolialia humu
inashangaza, kwa upumbavu na umalaya wake bado kuna wanawake mnamchekea, anawazalilisha sana. . sisi ma comrade tuna generalize tunawaweka kwenye chungu kimoja.
 
Kua makini
tapatalk_1565173207314.jpeg
 
Umeolewa na yeye ameoa, tulia na ndoa yako. Hayo mambo ya kukumbushia sijui kupasha nini.....yanaboa. Kwani kuna nini kipya kwenye mwili wake hadi umtake hivyo. Na bora aendelee kukupotezea tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom