Mpenzi wangu wa zamani ananipa mawazo

Mpenzi wangu wa zamani ananipa mawazo

Status
Not open for further replies.
Sema umekumbuka midinyo ya huyo msela..ukiwianisha na midinyo ya mumeo unaona kama ub.oo haukukolei...na sasa unataka kukolezwa...
 
Ndiyo hapo sasa kwa sababu hakuolewa bikra anaufananisha utamu wa kitombo cha ex na mume na kutaka tena kukumbushia utamu huo maana mume hamkolezi pamoja na kuwa miaka 7 imekatika.

Hakuna kitu ni kutamani tu kuonja kwingine tutakuwa tunawasingizia wanaume bure yaan kuzoea kuonja onja tu ndio maana ilifaa wanawake waolewe bikira
 
Ndiyo hapo sasa kwa sababu hakuolewa bikra anaufananisha utamu wa kitombo cha ex na mume na kutaka tena kukumbushia utamu huo maana mume hamkolezi pamoja na kuwa miaka 7 imekatika.

Una uhakika mme hamridhishi?hakuna kitu ni tamaa tu
 
Labda hilo la kutoridhishwa kaamua kulificha. Akiamua kurudi labda anaweza funguka zaidi sababu kubwa ya kutaka kumvulia picchu ex wake.

Nikuulize kitu watu huchepuka unadhani watu wao wanaowapenda hawawaridhishi?
 
Nyingi sana sababu kubwa ni hiyo. Ndiyo maana nikaunga mkono hoja yako ya kuolewa bikra kwa sababu KE anakuwa haujui utamu mwingine zaidi ya mumewe.

Mbona hata humu wengi KE na ME wameshawahi kuandika mara nyingi tu kwamba wanachepuka kwa sababu ndani ya ndoa hawaridhishwi na wenzao

Watu humu hadi walifikiria kuvunja ndoa ili waoe beki tatu kwa sababu hiyo.

Nikuulize kitu watu huchepuka unadhani watu wao wanaowapenda hawawaridhishi?
 
Nyingi sana sababu kubwa ni hiyo. Ndiyo maana nikaunga mkono hoja yako ya kuolewa bikra kwa sababu KE anakuwa haujui utamu mwingine zaidi ya mumewe.

Mbona hata humu wengi KE na ME wameshawahi kuandika mara nyingi tu kwamba wanachepuka kwa sababu ndani ya ndoa hawaridhishwi na wenzao

Watu humu hadi walifikiria kuvunja ndoa ili waoe beki tatu kwa sababu hiyo.

Nakuambia watu hutumia sababu ya kutoridhishwa ili wahalalishe kuchepuka nakataaa nimekataa
 
Of course wako wanaochepuka for the sake of kuchepuka, pia wapo ambao sababu kubwa hawaridhishwi na mume/mke hivyo hurudi kwa maex au mtu mpya kabisa. Nadhani ule uzi wa chats za kugegedana uliuosoma na kuna baadhi wamo ndani ya ndoa lakini hawaridhishwi kitandani.

Nakuambia watu hutumia sababu ya kutoridhishwa ili wahalalishe kuchepuka nakataaa nimekataa
 
Wasikuchanganye hao wanaokuponda. Wanaume wote tabia zao ni hizo hizo kuwa na mademu zaidi ya mmoja. Vinginevyo awe mgonjwa. Lakini wewe wanakuponda sababu ni mwanamke tu. Usiwasikilize,fuata moyo wako unasemaje?. Kwanza kula chakula cha aina moja kila siku kunakinaisha. Ndoa nyingi zimejikinai,zipo tu ksbb ksbb ya sheria na haya magonjwa,bila ya hivyo pasingekamatika hapa. JUA HILI KUOA AU KUOLEWA SIO MWISHO WA KUPENDA
 
Hello waungwana,niite Queen yes nimeolewa with two kids,Sasa bwana nina mpenzi wangu wa zamani kiufupi ni kwamba wote tunatakana tu hatukuwasiliana kama miaka saba hivi juz kati tumeanza mawasiliano tutakutana tutakiss kwenye gari ,nae ameoa na watoto wawili Sasa namuona kama vile hataki kuendelea kuwasiliana na mie ndo namtaka balaa ,nifanyeje?
Yaani unawakilisha idadi kubwa sana ya wamama, wanawataka wanaume na wapo kwenye ndoa
 
Haya mtu anataka baadae atulaumu wanaume kwa ulofa wake neka ukasukumwekizazi na muuni asiye kutaka
 
Kwann watu wanapotoa threads zao mnaishia kuwatukana na kuwakashifu, mbona hili jukwaa limekua na maneno machafu tofauti na majukwaa mengine.

Kama huna cha kumshauri ni kher mkaa kimya kuliko kumtolea mapovu jaman kuweni waungwana jiulize HV angekua ndo rafik ako anakufata umpe ushaur mngeishia kumtukana, hembu turejeshen heshima ya Jf ya miaka hiyo majukwaa yalikua full respect na upendo wa hali ya juu sio sasa mmezidisha matus na mizaha mada hazijadiliw mnaishia kumsakama mtoa post

Ninavyo wajua mapovu mtaamishia kwangu, poa mbadilike jaman
Sijaona ushauri zaidi ya maneno kama mwalim wa nidhamu
 
Usiwachukie mkuu, mbona wanaume pia mnafanya haya haya ila sisi wanawake hatuwachukii?
Nataka kuoa kutokana na mrundikano wa makujumu, lakin kwa hali hii inanipa mashaka na kuanza kuwachukia wanawake taratibu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom