Akiwa na ushahidi ni vyema akamtaliki na hata mimi naweza kufanya hivyo, endapo kama bado tuna watoto wasiozidi 1, ila wakizidi hapo naweza kumsamehe kwa mara ya kwanza kama hana tabia ya kujirudia na maisha yakaendelea.
Mwanamke mmoja ni kwa mwanaume asiekuwa na mihela ....kama ndalma ipo huwezi gegeda mwanamke mmoja lazima...yaani warembo wamejaa tele...lazima ubadilishe bwana leo hamu ya msambwanda kesho hamu ya cute face keaho kutwa hamu ya mwenye matiti mazuri....my taste in women changes with my mood.Kitendo cha kusema unataka kugegeda na kusepa ni dhahiri kwamba unataka kuwakomoa wanawake ila kama shida ingekuwa ni kupata papuchi bila stress basi hata mwanamke mmoja anakutosha kukupa papuchi
Hapana machango wa nn tena wakati huna mme, kukuweka kwangu kabisa kozi nimependa mawazo yako.Just hope unataka kujiandaa kutoa mchango eeh [emoji3] [emoji3] ,unaweza kutoa in advance then ntakujulishaaa no yangu no 0754223...
Haya ingekuwa wewe ungefanyaje.Mmhh talk is cheap and things are always easier said than done
Sawa mkuu ndo namalizia ka Fanta kangu hapa, nmechukua ivi vya chupa ya plastic vifupiiiii utadhan mbilikimo wa kongo.Kunywa soda ntalipa
Aisee ningejua mwenyewe ningefanyaje ila nisinge cheat backHaya ingekuwa wewe ungefanyaje.
Hapo itabidi umtie hamasa..Hello waungwana,niite Queen yes nimeolewa with two kids,Sasa bwana nina mpenzi wangu wa zamani kiufupi ni kwamba wote tunatakana tu hatukuwasiliana kama miaka saba hivi juz kati tumeanza mawasiliano tutakutana tutakiss kwenye gari ,nae ameoa na watoto wawili Sasa namuona kama vile hataki kuendelea kuwasiliana na mie ndo namtaka balaa ,nifanyeje?
Hahaaaa, nilidhani unataka kutoa mchango ,kumbe wewe ndyo muhusika mwenyewe Wa sherehe[emoji3] [emoji3] ,haya future husband tupange iwe lini sasa.?Hapana machango wa nn tena wakati huna mme, kukuweka kwangu kabisa kozi nimependa mawazo yako.
Mwakani tu, ila tareh na mwezi ni siri yetu tutazungumza PM.Hahaaaa, nilidhani unataka kutoa mchango ,kumbe wewe ndyo muhusika mwenyewe Wa sherehe[emoji3] [emoji3] ,haya future husband tupange iwe lini sasa.?
Unaongea hivyo kama nani?Mwanamke utaendelea kuwa chombo cha tarehe tu ... mtuzalie watoto, ndoa kafunge na wajinga wenzio
Kama mshauri wa wanawake wa namna hiyoUnaongea hivyo kama nani?