Mpenzi wangu kanizidi umri

kwann G Sam?!.
'
Emb imagine unakililia kitoto kimahaba....kiakupindua kitakavyo unaking'atia vidole kwa aibu kinakugombeza ukikosea unatembea nacho mitoko dah! don do that bana..kwa girls haijakaa powa kabisa bana!
 
'
Emb imagine unakililia kitoto kimahaba....kiakupindua kitakavyo unaking'atia vidole kwa aibu kinakugombeza ukikosea unatembea nacho mitoko dah! don do that bana..kwa girls haijakaa powa kabisa bana!

Mbona sikupati mkuu unamaanisha nin?
 
kwahiyo ulimuoa ukiwa na miaka 25 yeye yeye 28?
yap.. umeogopaee...kinachoniongoza ni kufikiri,,maombi na hekima ya hali ya juu ili nisijekuwa kwenye right position but wrong direction hata siku moja.
 
Hahaaa mimi na miaka 24.5 lakini napenda madada wa kianzia miaka 27_30 kwa hyo umri siyo kigezo we kula maneno.

Wewe unazungumzia kugegeda mwenzio anazungumzia kuoa, haya ni mambo mawili tofauti.
 
Na vipi kama mwanamke amekuzidi miaka kama miwili-minne na umemtia mimba, unaoa?
 
Mbona yule Mbunge mzee wa miaka 50's alikubali kuolewa na kijana wa miaka 26 kwa sababu tu kijana kamng'ang'ania? Hata nawe mng'ang'anie atakubali tu...!
 
The truth is that Age matters especially in our African cultures,but my advice to u is that as long as that someone special can make u happy then that what counts.
 
brother,love doesn't matter whom one you love.is just how you feel towards each other.go ahead and be happy wth her.
 

wewe matola umeandika nini hapo, ndio maneno gani ya kumwambia huyo dada. we mtu unalaana wewe.
 
wewe matola umeandika nini hapo, ndio maneno gani ya kumwambia huyo dada. we mtu unalaana wewe.

Tusimshangae Matola mtu wa kuowa K9 unadhani atatoa ushauri mwema? Angalia comments zake zilopita!!
 
Last edited by a moderator:
Kama una miaka 21 unategemea huo ubongo wako unawaza nini zaidi ya ngono? hivi wewe unajuwa hata future ni nini? foolish age inakusumbuwa ukikuwa utayaelewa haya mambo.

Kikojozi kakojoa na nguo kaitia moto!!

Mama Matola anajionaje na hali!
Gongo ameisha ivisha??
 
Last edited by a moderator:








Kamuulize Josephine yule Junior ni mtoto wa Dr Slaa au kagegedewa?





Naona mwanangu wamekufikisha kwenye anga zako za rusha roho!

Mtoto una mdomo michafu kuliko wale waliberali!! Duhhh!

We bado kidogo tu utaitwa mwajuma!

Teh teh teh!
 
Sijasema miaka 10 wewe, mbona unakuwa na tabia za kiswahili kukuza mambo, rudi kwenye post yangu uone kama nimeandika ana miaka kumi halafu kaa ukijua sio kila uhusiano purpose yake ni kuoana, sio kila uhusiano lazima ufikie kwenye ndoa na kuna tofauti ya kuwa wapenzi na kuoana. Mnaweza kuwa wapenzi na kila mtu akawa na mission yake. Usikariri, hata wewe ulishakuwa na wapenzi kibao lakini kama ni kuoa utaoa mmoja tu


 
Hana lolote huyo, si ajabu na yeye analelewa, anajishaua tu hapa jf
Atuache watu tujipe raha, kama linamuuma mkaka kuwa na mpenzi mwenye umri mkubwa apeleke maoni kwenye katiba mpya. Raha tupate sie, kuumia aumie Matola inahu........!


Naona mwanangu wamekufikisha kwenye anga zako za rusha roho!

Mtoto una mdomo michafu kuliko wale waliberali!! Duhhh!

We bado kidogo tu utaitwa mwajuma!

Teh teh teh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…