Mpenzi wangu kanikataa live leo

Wanaletaga jeuri sana wakisha pata mwingine lakini majuto yakianza anakukumbuka dah!!
 
Mkuu una hela kweli?? Kama huna hela basi mwenzako analiwa na wenye hela na anakudanganya anakulia hizo pesa zako ndogo ndogo. Piga chini fasta wala usirudi nyuma atakutesa sana.
Shukuran mkuu, ndo maana anazidi kupendeza tu hadi nashangaa.
 
Fanya kweli ulete nondo hizo kiongozi
 

Nimekusoma mkuu moja ya wazo ambalo limeniingia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…