Mpenzi wangu kanikataa live leo

Asipokuelewa hapa basi awezi kuelewa tena
1. Huyo hakuwa mpenzi wako bali ni rafiki tu. Mpenzi maana yake mnafanya mapenzi

2. Siku zote unapokua na mwanamke, hakikisha kila unapokutana nae uhusiano wenu unapiga hatua kutoka point moja hadi nyingine! Mfano kama leo mmetoka out, next time mkitoka tena hakikisha unakula mate, next time unakula mate na kumchezea nyonyo na papuchi if possible, next unakula mzigo! Mwanamke akishaona hakuna progress anaboeka na mwisho anakupiga chini maana anaona hujielewi unampotezea muda tuu kila akija hamna kinachoendelea na wakati huo kuna wenzio 37 wanamsarandia na wanafanya kweli.
3. Sijui turudie kusema mara ngapi, MWANAMKE HAOMBWI KU SEX!! Ukikaa unamuomba mwanamke ku sex nae hutakaa ule papuchi wewe utakua unaachwa kila siku. Jifunze kutengeneza mazingira ya kula mzigo bila kuomba omba.
4. Jenga utamaduni wa kuwa na marafiki wengi wa kike kila wakati. Ukiwa na kamwanamke kamoja tu kila siku unakafuata fuata hako hako hua unaanza kuonekana poyoyo tuu na unapoteza mvuto kwake. Huo mda wote unaopoteza kumfuatilia mwanamke mmoja ungeshakula wengine kama 8 watam kuliko huyo.
 
Ishi maisha yako na yapende mkuu wala usipanick sana wengine inakuwa tu fate yenu sio sawa so hata ufanye nini mambo hayawezi kuwa sawa... Wengine tuliachwa tukajua labda pesa chanzo and even baada ya kupata pesa kidogo unaona mtu hayupo interested nawe unabaki kuumia tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za humu ,nimekuwa na mfululizo wa thread lakini na wewe utajifunza kupitia hiki kisa kilicho nitokea leo tarehe 25.03.2020 mida ya mchana.

Nisipoteze muda twende kisa chenyewe kama kawaida.

Nilikuwa na mpenzi wangu anaitwa Anna tumekuwa kwenye mahusiano kwa muda mrefu sana cha kushangaza hatujawahi kufanya mapenzi toka tuwe kwenye mahusiano yetu.

Nimekuwa nikimwambia tufanye anakataa anasema yaye hapendi kufanya mapenzi muda huu, sababu nyingi nyingi haziishi mara asema anahamu lakini anajizuia
Amekuwa na tabia ya kutoniamiani mara aniambie ninawasichana wengine tofauti na yeye,

Imekuwa tabu kila nikimwambia kuhusu sex anaruka mita 100 na kama unataka achukie mwambie kuhusu sex ,amekuwa akitumia vitu vyangu kama vile pesa nk lakini yeye nikimwabia hata siku moja anitunuku nipunguze ganzi ananikatlia na kuniambia eti nijizuie.

Na ni binti niliye kuwa namwamini sana nikijua kama tukiendelea hivi tutafika hadi kuoana maana ni binti ambae anaonekana mpole lakini nimemsoma ni mtu ambae anaficha hisia zake za matendo .

Juzi tarehe 23.03.2020 alinitumia ujumbe kupitia mtu fulani kuwa amenimisi sana maana nisiku kama 3 nyuma tulikuwa hatujaonana basi kesho yake tukaonana lakini baada ya kuonana hakuonesha uchangamfu kabisa ndo kumuuliza kulikoni anasema siku hizi hunijali,ndo kumuliza kivipi sikujali hakuwa na majibu ya kueleweka akawa amesepa hata hatujaongea vizuri dah nikabaki nimejiinamia nabofya simu tu .

Nikajisemea moyoni huyu tunapo elekea sijui tu basi nikawa nimesepa home.

Leo tarehe 25.03.2020 mida ya mchana nimekutana nae nikamuita akanilia buyu nikasema poa isiwe noma nikaamua kumfata nikamsimamisha maeneo tukabonga lakini alionekana hana mood yoyote nikamuuliza kulikoni mbona hivi, akanijibu wewe siku hizi hunijali ,kuna vitu akawa haviongei.

Nikamwambia mbona mahusiano yetu siyaelewi yanaelekea wapi, naona kama hueeweki nikaamua kumwambia we niambie tu ukweli kama hunipendi nijue kabisa nawala usinifiche.

Akafununguka akaniambia tuachane kila mtu ajue lake, mi nikamwambia poa wewe usiwaze kuwa na amani moyoni, mimi sitaki tena kumubembeleza maana inavoonekana nahisi atakuwa na jamaa huko ambalo linampa kiburi,

Nimeapa sitotoa msamaha wowote juu yake labda ikitokea anakuja kujitetea maana naona ni kama dharau ambayo ananifanyia na mwisho wa siku ntaonekana lofa.

Nishatoa maamuzi ya kiume na uzuri nilikuwa nampenda lakini nikaweka balance ya upendo nilijua hata tutapo kuja achana nisiumie.

Kuanzia jioni ya leo ameanza kunichunia.

Mpaka hapa sijajua nikipi kilicho mfanya achukue maamuzi ya haraka kama hayo ambayo sikuyategemea.

Sijui alinishauri nani...

©Bin Shaib Classic 2020
Tatizo hapo ni pesa,hakuna mwanamke anayekataa kutoa kama unaweka mzigo wa maana,ukiwa na hela wala huombi unakuta mtoto kajinyonyoa mwanyoya anakusubiri kitandani, ww tafuta hela kwana acha maneno mengi, unaleta ujanja wa tumbili kwenye mapenzi?
 
Tatizo hapo ni pesa,hakuna mwanamke anayekataa kutoa kama unaweka mzigo wa maana,ukiwa na hela wala huombi unakuta mtoto kajinyonyoa mwanyoya anakusubiri kitandani, ww tafuta hela kwana acha maneno mengi, unaleta ujanja wa tumbili kwenye mapenzi?

Ni kweli pesa ndo mhimu katka moja ya matumizi ya mwanamke, japo sikuwa na pesa kivile lakini niliamua kumkazia kumpa vipesa vyangu nilipo ona ananizingua.
 
Ni kweli pesa ndo mhimu katka moja ya matumizi ya mwanamke, japo sikuwa na pesa kivile lakini niliamua kumkazia kumpa vipesa vyangu nilipo ona ananizingua.

Kuna saikolojia moja unatakiwa kuielewa. Ukishakua na hela, hua huhitaji tena kutumia hela nyingi kuwapata mabinti! Ila ukiwa huna hela, unahitaji kutumia hela nyingi sana kumpata binti.

Yaani iko hivi... wadada wana uwezo wa ku "detect" mtu mwenye hela na hua wanavutiwa tu "naturally" kuwa na mtu ambae anazo. Wazungu wanasema "money is sexy". Ukiwa huna hela, mdada akikuangalia tu anajua huna kitu ila unajaribu tu kum-impress na automatikale unapoteza mvuto kwake. Kwahiyo inabidi umhonge sana ili kununua affection yake. Lakini ukishakua nazo, utashangaa wadada unawatafuna kirahisi tu bila kuwapa senti tano. Sanasana we utakua unatumia hela ya mafuta ya gari, loji na vyakula/vinywaji tu.
 
Kuna saikolojia moja unatakiwa kuielewa. Ukishakua na hela, hua huhitaji tena kutumia hela nyingi kuwapata mabinti! Ila ukiwa huna hela, unahitaji kutumia hela nyingi sana kumpata binti.

Yaani iko hivi... wadada wana uwezo wa ku "detect" mtu mwenye hela na hua wanavutiwa tu "naturally" kuwa na mtu ambae anazo. Wazungu wanasema "money is sexy". Ukiwa huna hela, mdada akikuangalia tu anajua huna kitu ila unajaribu tu kum-impress na automatikale unapoteza mvuto kwake. Kwahiyo inabidi umhonge sana ili kununua affection yake. Lakini ukishakua nazo, utashangaa wadada unawatafuna kirahisi tu bila kuwapa senti tano. Sanasana we utakua unatumia hela ya mafuta ya gari, loji na vyakula/vinywaji tu.
Point
 
Kw
Kuna saikolojia moja unatakiwa kuielewa. Ukishakua na hela, hua huhitaji tena kutumia hela nyingi kuwapata mabinti! Ila ukiwa huna hela, unahitaji kutumia hela nyingi sana kumpata binti.

Yaani iko hivi... wadada wana uwezo wa ku "detect" mtu mwenye hela na hua wanavutiwa tu "naturally" kuwa na mtu ambae anazo. Wazungu wanasema "money is sexy". Ukiwa huna hela, mdada akikuangalia tu anajua huna kitu ila unajaribu tu kum-impress na automatikale unapoteza mvuto kwake. Kwahiyo inabidi umhonge sana ili kununua affection yake. Lakini ukishakua nazo, utashangaa wadada unawatafuna kirahisi tu bila kuwapa senti tano. Sanasana we utakua unatumia hela ya mafuta ya gari, loji na vyakula/vinywaji tu.
Kweli bro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom