mleta mada umenchekesha na kunkumbusha mbali sana nlikuwa na dem mkali mno sema mimi nlikuwa napiga nlivyoenda zangu chuo baada kama ya mwezi akanibwaga dah nlichanganyikiwa nakumbuka nilikuwa naongea bafuni mwenyewe,baada kama ya miaka 3,akanitafuta full kuniomba msamaha kikubwa alimoenda alitendwa na jamaa hakuwa anampa kama nlichokuwa nampa mimi,nikajifanya gentle nikamrudia full mahaba then akanitunuku siku hyo hakika nilimpa penzi ambalo nina hakika hakuwahi kulipata kwa siku 2 nzima baada ya hapo sku inayofata nikamwambia naenda job,kilichofata hapo ni mesage nzuri tu mimi na wewe basi




,kilichofata hapo ni kesi mpka mzee kaja home,tumeenda mpka kwenye dawati la jinsia polisi leo ukimuona amekonda kama moja mwenzie nanenepa malipi hapa hapa duniani ukiniumiza its just the matter of time nami ntakuumiza mara 2
Sent using
Jamii Forums mobile app