Bin Shaib
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,349
- 1,223
- Thread starter
- #161
Ka anna kanaliwa na wakubwa wako wenye pesa- shule mnafungua lini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika mkuu nakubali.
Ka anna kanaliwa na wakubwa wako wenye pesa- shule mnafungua lini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo usilalamike sana kwa sababu kosa ni lako maana inategemea na terms zenu wakati mnaanzisha mahusiano . Nd'o maana unaambiwa lazima terms zijulikane from the beginning . Pili , inaonekana hauko romantic . Wanawake pamoja na mambo ya pesa yanayotawala dunia lakini kwa asili wanapenda mtu romantic na mwenye sense of humour . Jinsi unavyoendelea kukua utajifunza . Hao ni viumbe wanaohitaji kutengenezewa mazingira rafiki utajikuta unakula kirahisi . Nakushauri jipange mtengee kabajeti ka kama laki tatu mtoe out mpeleke kiwanja ambacho soda 1 inauzwa elfu 10 na chukua room ambayo ni suite isiyopungua laki na nusu , mkitoka huko mtakuwa siyo tu mmerudiana bali utakula kabisa na atakuita bby kila ckuHabari za humu ,nimekuwa na mfululizo wa thread lakini na wewe utajifunza kupitia hiki kisa kilicho nitokea leo tarehe 25.03.2020 mida ya mchana.
Nisipoteze muda twende kisa chenyewe kama kawaida.
Nilikuwa na mpenzi wangu anaitwa Anna tumekuwa kwenye mahusiano kwa muda mrefu sana cha kushangaza hatujawahi kufanya mapenzi toka tuwe kwenye mahusiano yetu.
Nimekuwa nikimwambia tufanye anakataa anasema yaye hapendi kufanya mapenzi muda huu, sababu nyingi nyingi haziishi mara asema anahamu lakini anajizuia
Amekuwa na tabia ya kutoniamiani mara aniambie ninawasichana wengine tofauti na yeye,
Imekuwa tabu kila nikimwambia kuhusu sex anaruka mita 100 na kama unataka achukie mwambie kuhusu sex ,amekuwa akitumia vitu vyangu kama vile pesa nk lakini yeye nikimwabia hata siku moja anitunuku nipunguze ganzi ananikatlia na kuniambia eti nijizuie.
Na ni binti niliye kuwa namwamini sana nikijua kama tukiendelea hivi tutafika hadi kuoana maana ni binti ambae anaonekana mpole lakini nimemsoma ni mtu ambae anaficha hisia zake za matendo .
Juzi tarehe 23.03.2020 alinitumia ujumbe kupitia mtu fulani kuwa amenimisi sana maana nisiku kama 3 nyuma tulikuwa hatujaonana basi kesho yake tukaonana lakini baada ya kuonana hakuonesha uchangamfu kabisa ndo kumuuliza kulikoni anasema siku hizi hunijali,ndo kumuliza kivipi sikujali hakuwa na majibu ya kueleweka akawa amesepa hata hatujaongea vizuri dah nikabaki nimejiinamia nabofya simu tu .
Nikajisemea moyoni huyu tunapo elekea sijui tu basi nikawa nimesepa home.
Leo tarehe 25.03.2020 mida ya mchana nimekutana nae nikamuita akanilia buyu nikasema poa isiwe noma nikaamua kumfata nikamsimamisha maeneo tukabonga lakini alionekana hana mood yoyote nikamuuliza kulikoni mbona hivi, akanijibu wewe siku hizi hunijali ,kuna vitu akawa haviongei.
Nikamwambia mbona mahusiano yetu siyaelewi yanaelekea wapi, naona kama hueeweki nikaamua kumwambia we niambie tu ukweli kama hunipendi nijue kabisa nawala usinifiche.
Akafununguka akaniambia tuachane kila mtu ajue lake, mi nikamwambia poa wewe usiwaze kuwa na amani moyoni, mimi sitaki tena kumubembeleza maana inavoonekana nahisi atakuwa na jamaa huko ambalo linampa kiburi,
Nimeapa sitotoa msamaha wowote juu yake labda ikitokea anakuja kujitetea maana naona ni kama dharau ambayo ananifanyia na mwisho wa siku ntaonekana lofa.
Nishatoa maamuzi ya kiume na uzuri nilikuwa nampenda lakini nikaweka balance ya upendo nilijua hata tutapo kuja achana nisiumie.
Kuanzia jioni ya leo ameanza kunichunia.
Mpaka hapa sijajua nikipi kilicho mfanya achukue maamuzi ya haraka kama hayo ambayo sikuyategemea.
Sijui alinishauri nani...
Bin Shaib Classic 2020
Daaaaah,nahisi kama umenikumbusha maumivu ya miaka hiyo ilopita na sitokuja nisahau na siwezi muamini kiumbe yeyote anayeitwa mwanamke,POLE SANA,ACHA KWANZA MAUMIVU YAPITE NDIPO UFANYE MAAMZI UPYA
Kuna ukweli nakubali.Kwa taarifa yako mtoa mada ni kwamba huyo binti bado ana Bikra, hajawahi kufanya hicho kitu unachokitaka. Kitendo cha kukubali kuwa falagha na wewe ni wazi anakupenda. Tatizo lipo kwako wewe mwanaume, unakosa maarifa ya plan A, B, C ya kumaliza mchezo.
Soma tena uzi wako utajua unazingua wapi hapo ulipozingua ndipo nilipokuzidiYapi maarifa hayo?.
Sasa mbona una mapenzi ya kitoto? Mapenzi ya kuogopana ? Huyo ukitakiws umuandalie mazingira kama unaona kuomba umeshindwa .wanawake wa hivyo huwa wanataka wewe ndo uanzishe first move na sio kuomba omba kizembe (ujue tu nishakutukana ulipoandika eti unaomba ki sex) .Sisomi.


dah!! Mzito kweli yani.Shule zifunguliwe mkasome, mnatusumbua na nyuzi za hovyoHabari za humu ,nimekuwa na mfululizo wa thread lakini na wewe utajifunza kupitia hiki kisa kilicho nitokea leo tarehe 25.03.2020 mida ya mchana.
Nisipoteze muda twende kisa chenyewe kama kawaida.
Nilikuwa na mpenzi wangu anaitwa Anna tumekuwa kwenye mahusiano kwa muda mrefu sana cha kushangaza hatujawahi kufanya mapenzi toka tuwe kwenye mahusiano yetu.
Nimekuwa nikimwambia tufanye anakataa anasema yaye hapendi kufanya mapenzi muda huu, sababu nyingi nyingi haziishi mara asema anahamu lakini anajizuia
Amekuwa na tabia ya kutoniamiani mara aniambie ninawasichana wengine tofauti na yeye,
Imekuwa tabu kila nikimwambia kuhusu sex anaruka mita 100 na kama unataka achukie mwambie kuhusu sex ,amekuwa akitumia vitu vyangu kama vile pesa nk lakini yeye nikimwabia hata siku moja anitunuku nipunguze ganzi ananikatlia na kuniambia eti nijizuie.
Na ni binti niliye kuwa namwamini sana nikijua kama tukiendelea hivi tutafika hadi kuoana maana ni binti ambae anaonekana mpole lakini nimemsoma ni mtu ambae anaficha hisia zake za matendo .
Juzi tarehe 23.03.2020 alinitumia ujumbe kupitia mtu fulani kuwa amenimisi sana maana nisiku kama 3 nyuma tulikuwa hatujaonana basi kesho yake tukaonana lakini baada ya kuonana hakuonesha uchangamfu kabisa ndo kumuuliza kulikoni anasema siku hizi hunijali,ndo kumuliza kivipi sikujali hakuwa na majibu ya kueleweka akawa amesepa hata hatujaongea vizuri dah nikabaki nimejiinamia nabofya simu tu .
Nikajisemea moyoni huyu tunapo elekea sijui tu basi nikawa nimesepa home.
Leo tarehe 25.03.2020 mida ya mchana nimekutana nae nikamuita akanilia buyu nikasema poa isiwe noma nikaamua kumfata nikamsimamisha maeneo tukabonga lakini alionekana hana mood yoyote nikamuuliza kulikoni mbona hivi, akanijibu wewe siku hizi hunijali ,kuna vitu akawa haviongei.
Nikamwambia mbona mahusiano yetu siyaelewi yanaelekea wapi, naona kama hueeweki nikaamua kumwambia we niambie tu ukweli kama hunipendi nijue kabisa nawala usinifiche.
Akafununguka akaniambia tuachane kila mtu ajue lake, mi nikamwambia poa wewe usiwaze kuwa na amani moyoni, mimi sitaki tena kumubembeleza maana inavoonekana nahisi atakuwa na jamaa huko ambalo linampa kiburi,
Nimeapa sitotoa msamaha wowote juu yake labda ikitokea anakuja kujitetea maana naona ni kama dharau ambayo ananifanyia na mwisho wa siku ntaonekana lofa.
Nishatoa maamuzi ya kiume na uzuri nilikuwa nampenda lakini nikaweka balance ya upendo nilijua hata tutapo kuja achana nisiumie.
Kuanzia jioni ya leo ameanza kunichunia.
Mpaka hapa sijajua nikipi kilicho mfanya achukue maamuzi ya haraka kama hayo ambayo sikuyategemea.
Sijui alinishauri nani...
©Bin Shaib Classic 2020
Umesahau kumwambia kuwa kuazia hiyi siku ataonekana pedeshee na siku akikosa hela ndo mwanzo wa kukimbiwa .Dogo usilalamike sana kwa sababu kosa ni lako maana inategemea na terms zenu wakati mnaanzisha mahusiano . Nd'o maana unaambiwa lazima terms zijulikane from the beginning . Pili , inaonekana hauko romantic . Wanawake pamoja na mambo ya pesa yanayotawala dunia lakini kwa asili wanapenda mtu romantic na mwenye sense of humour . Jinsi unavyoendelea kukua utajifunza . Hao ni viumbe wanaohitaji kutengenezewa mazingira rafiki utajikuta unakula kirahisi . Nakushauri jipange mtengee kabajeti ka kama laki tatu mtoe out mpeleke kiwanja ambacho soda 1 inauzwa elfu 10 na chukua room ambayo ni suite isiyopungua laki na nusu , mkitoka huko mtakuwa siyo tu mmerudiana bali utakula kabisa na atakuita bby kila cku
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhhhhh!!Dogo usilalamike sana kwa sababu kosa ni lako maana inategemea na terms zenu wakati mnaanzisha mahusiano . Nd'o maana unaambiwa lazima terms zijulikane from the beginning . Pili , inaonekana hauko romantic . Wanawake pamoja na mambo ya pesa yanayotawala dunia lakini kwa asili wanapenda mtu romantic na mwenye sense of humour . Jinsi unavyoendelea kukua utajifunza . Hao ni viumbe wanaohitaji kutengenezewa mazingira rafiki utajikuta unakula kirahisi . Nakushauri jipange mtengee kabajeti ka kama laki tatu mtoe out mpeleke kiwanja ambacho soda 1 inauzwa elfu 10 na chukua room ambayo ni suite isiyopungua laki na nusu , mkitoka huko mtakuwa siyo tu mmerudiana bali utakula kabisa na atakuita bby kila cku
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe acha mikwaraSoma tena uzi wako utajua unazingua wapi hapo ulipozingua ndipo nilipokuzidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wajinga watasema hiyo pesa si bora nikanunue tofari, au kwa kipindi hiki ni bora ninunue sanitizer na kibuyu mchirizi nijikinge na corona.Dogo usilalamike sana kwa sababu kosa ni lako maana inategemea na terms zenu wakati mnaanzisha mahusiano . Nd'o maana unaambiwa lazima terms zijulikane from the beginning . Pili , inaonekana hauko romantic . Wanawake pamoja na mambo ya pesa yanayotawala dunia lakini kwa asili wanapenda mtu romantic na mwenye sense of humour . Jinsi unavyoendelea kukua utajifunza . Hao ni viumbe wanaohitaji kutengenezewa mazingira rafiki utajikuta unakula kirahisi . Nakushauri jipange mtengee kabajeti ka kama laki tatu mtoe out mpeleke kiwanja ambacho soda 1 inauzwa elfu 10 na chukua room ambayo ni suite isiyopungua laki na nusu , mkitoka huko mtakuwa siyo tu mmerudiana bali utakula kabisa na atakuita bby kila cku
Sent using Jamii Forums mobile app