Mpenzi wangu kaniibia kila kitu, katoroka

Mpenzi wangu kaniibia kila kitu, katoroka

Habari wanajukwaa,

Labda nianze kwa kusema haya sasa ni mapenzi au wizi? Mnamo juzi kati siku ya jumapili tuligombana na mke wangu lakini ulikuwa ni ugomvi wa kawaida tu, kama mnavojua katika mapenzi lazima iwepo mitafaruku ya hapa na pale, tukanuniana siku nzima lakin kufikia jumatatu kila mtu akawa kama ameshapotezea hivi.

Jana kaniandalia chai vizuri, nikanywa nikaondoka zangu kazini, cha ajabu jioni narudi kazini nakuta hakuna mtu wala hakuna kitu cha aina yoyote mule ndani kwa maana nyingine (ametoroka) kabeba kila kitu kilicho chake na kisicho chake, na hapa nilipo nilienda kulala kwa rafiki yangu sijaenda kazini na sielewi nifanyenini.

Samahani mkuu huyo dada ulikuwa unaishi nae tu au ni mkeo wa ndoa?? pole kwa yaliyokukuta.
 
Oohhhh pole sana dada kwan haukuwa nae kwa muda mrefu au mlikutana bar,,,,,,!!!!!na kwa nn ulimpelika kwako
 
asante, ni mke wangu wa ndoa na kanizalia mtoto 1

Basi huyo alikuwa mwizi sio mke tena....hapo bar alikupa taarifa kuwa yupo na kaka yake? wadada sijui kwann tuko hivi it's not fair...tuwaoneege huruma hawa kaka zetu wakati mwingine
 
Duuhuuuuu pole sana ukweni umetoa taarifa au ni mambo kifamilia mlikosana kiasikwamba akishindwa kuvumilia kwa kile ulicho mfanyiiaa
 
Teheteheee Preta na mimi nipo Bunda pia naandaa njia ya safari ya MATUMAINI kwa waTanzania. Kama vipi nikupokee mwanaJF mwenzio

Asante mwenyeji wangu.......nipo hapa Lamadi......asubuhi nitakuwa hapo mjini mkuu........niandalie supu ya samaki kabisa maana Serengeti nimepita kuna vumbi kweli.............
 
Basi huyo alikuwa mwizi sio mke tena....hapo bar alikupa taarifa kuwa yupo na kaka yake? wadada sijui kwann tuko hivi it's not fair...tuwaoneege huruma hawa kaka zetu wakati mwingine

we umeskia za watu kweli unafikiri nimemtoa bar?
 
Duuhuuuuu pole sana ukweni umetoa taarifa au ni mambo kifamilia mlikosana kiasikwamba akishindwa kuvumilia kwa kile ulicho mfanyiiaa

yaan apa ndo sielewi nikiwaambia ametoroka wataniuliza mmekosana nn?
 
we umeskia za watu kweli unafikiri nimemtoa bar?

Hapana si ulisema ulimuona sehemu hivi yuko na mwanaume? ndio nikakuuliza kama huyo jamaa alikuwa ni ndugu yake si angekupa taarifa mapema kuliko kukudanganya yuko home anapika.
 
Preta kama utapita mwanza mjini wakati unarejea kwako /kwenu ,nitafute nikupe take away ya samaki
 
Last edited by a moderator:
Unaelekea bunda !! kunamatatizo gani?

Nimebaki kustaajabu.....maana yaliyowakuta wale maticha , hakika hawatakaa wasahau mpaka wanaingia kaburini.

Na zaidi lililonishangaza.......ni hilo la kuwekewa ugali na mchuzi wa samaki kwenye shuka.......hivi wachawi wana akili timamu kweli...........?........hiyo ndio nini sasa..............
 
kwanini story za kutunga zinakuwaga tamu kuliko halisia?anyway kamuangalie kwao kwanza
 
Hapana si ulisema ulimuona sehemu hivi yuko na mwanaume? ndio nikakuuliza kama huyo jamaa alikuwa ni ndugu yake si angekupa taarifa mapema kuliko kukudanganya yuko home anapika.

nadhani hujaielewa thread isome vizuri.
 
Mimi Nafikiri ni bora uende kwa wazaz wake kisha uwajuze yaliyoji ndipo utakapo chukua uamuz utakao kupelekea ww kupata v2 vyako na hata kurudiana na mke wako maan nna amini mlipendana mpk mkafikia hatua ya kuw wanandoa
 
Back
Top Bottom