youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
- Thread starter
- #161
Haha pole mkuu nna mshkaji wangu nae kalizwa na mwenza wake ingawa wao hawakua wameona
asante broh.
Haha pole mkuu nna mshkaji wangu nae kalizwa na mwenza wake ingawa wao hawakua wameona
umesema ulienda kulala kwa rafiki yako, inamaana mkeo alitoroka na nyumba pia.
kwaiyo we umeona hii ya kutunga sio? any way sifikirii kwenda kumuangalia kwao kwan am sure hawez kwenda nyumbani.
kwaiyo we umeona hii ya kutunga sio? any way sifikirii kwenda kumuangalia kwao kwan am sure hawez kwenda nyumbani.
kwa sasa naeza mwita kibaka
He he he.......pole sana.......
Naelekea Bunda kutatua matatizo ya walimu .......nikirudi nitakwambia cha kufanya.........
Piga simu uulize sio lazma uende, pia taarifa ni muhimu, au unaogopa ulitorosha?hukujitambulisha na mahali hujatoa?
youngsharo
1. Hakuna kitu kama, "ugomvi wa kawaida".
2. Mwanaume unanuna?
3. Kumbe ndani ya nyumba(ndoa) kuna 'vitu vyake' na 'vitu vyako'?
Kwa kweli, matatizo ya walimu kule ni makubwa zaidi... yaani wanafanyishwa kuwa mashoga..
ndio....gauni la mkeo ni lako?????
ndio....gauni la mkeo ni lako?????
1..vitu vyo wote ni vitu ambavyo wote mme & mke mmevipata mkiwa pamoja.
sasa kilicho chake ndio hivyo magauni,sidiria,vipodozi,mwiko,upawa,masufuria aliyopewa ktk kitchen party n.k na kisicho chake ni pamoja na boxer za mumewe kakomba zote!huyo dada ana visa sanaAlikuwa akiongelea mali 'assets' kama alivyosema hapo juu na si the obvious nguo, viatu ? n.k naamini.
sasa kilicho chake ndio hivyo magauni,sidiria,vipodozi,mwiko,upawa,masufuria aliyopewa ktk kitchen party n.k na kisicho chake ni pamoja na boxer za mumewe kakomba zote!huyo dada ana visa sana
malaz muda wowote narudisha na ivyo vitu vingine vitarudi, lakin nafikiria nitaishi vp bila mke?
ndo sijajua yupo kwao ama vp
Kwa maana nyingine umekurupuka