youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
- Thread starter
- #101
Kutoroka? ndo maana sijaoa nanina 27-33yrs na sina mpango naogopa kutendwa kama jamaa.
mamaaa!
Kutoroka? ndo maana sijaoa nanina 27-33yrs na sina mpango naogopa kutendwa kama jamaa.
Huyu alikuwa mke au kimada? Ulimuokota wapi? Hujui wazazi wake wanaishi wapi? Hujui ndugu, jamaa na marafiki zake wanaishi wapi ili ukaanzie huko?
Nilikuwa nasubiri BADILI TABIA verification!!
Sasa waweza kumruhusu mwana wa Adam A.k.a Sharo aende twisheni, Ilala mchikichini.
Naona umri wako haujawa stable mkuu,perhaps ukiishatulia utaoa tu...maana naona umri wako unapanda na kushuka kitakwimu haupo spesific! Lakini say una miaka hata 200 nani alikuadanganya kwamba umri ni kigezo cha kuoa?
alokwambia hajui kwa wazaz wake nani?
iv ushawai kuona/kusikia mtu akitoroka anarudi kwao?
Si ajabu jamaa lingine limeshamuoa
labda ndo useme ivo lakin usiseme katoroka kaenda kwa wazazi au ndugu zake
Huwezi kujua yuko wapi kabla ya kumtafuta bhanaa! Wewe uliona wapi mume anakimbilia mtandaoni kufungua uzi kuhusu kupotea kwa mkewe kabla ya kumtafuta kwa wazazi, ndugu, jamaa na marafiki? Kama ulifanya hivyo mbona hukuandika kwamba umemtafuta huko kwingine bila mafanikio? Tuliza akili Mkuu.
Horseshoe Arch:
watoto wa F1 hao ndo nasubiri kuoa, ninahisi kizazi cha laana kitakua kimeisha
kwaiyo unavofikiri wewe kwa akili zako atakuwa hajatoroka ila kaenda kusalimia kwa wazazi au ndugu zake sio?
mtu kasafisha kila kitu mpaka nguo zangu alaf aende navyo kwa wazaz au ndugu duh! think twice bro.
He he he.......pole sana.......
Naelekea Bunda kutatua matatizo ya walimu .......nikirudi nitakwambia cha kufanya.........
Ndio shida ya kuchuka wanwake toka Kona Bar
Aah teh, nkajua unanikaribisha
miss chagga nikaribishe tu mwana wa mwenzio
Haya usijal lala ukiamka kesho nitakukaribisha