Mpenzi wangu kaniibia kila kitu, katoroka

Mpenzi wangu kaniibia kila kitu, katoroka

Preta kama utapita mwanza mjini wakati unarejea kwako /kwenu ,nitafute nikupe take away ya samaki

Nikitoka Bunda nitafika hadi Musoma...........Mwanza nitakuja rasmi unipeleke Jembe ni Jembe............
 
Bosi wangu alipata kuniambia siku moja 'wewe ni kijana ikitokea umeteleza kwa mwanamke na ukaenda naye gheto kwako,kama utatoka kwenda dukani,mfungie ndani na usiku mkilala chunga sana hakikisha haoni wapi umeweka funguo vinginevyo utakuja juta',leo ndo naamini kauli ya boss,boss asante kwa ushauri murua mungu akuzidishie busara zaidi boss
 
pole mkuu, wanawake wa mkoa fulani hv wana hizo tabia,huyo wako wa wapi?
 
Habari wanajukwaa,

Labda nianze kwa kusema haya sasa ni mapenzi au wizi? Mnamo juzi kati siku ya jumapili tuligombana na mke wangu lakini ulikuwa ni ugomvi wa kawaida tu, kama mnavojua katika mapenzi lazima iwepo mitafaruku ya hapa na pale, tukanuniana siku nzima lakin kufikia jumatatu kila mtu akawa kama ameshapotezea hivi.

Jana kaniandalia chai vizuri, nikanywa nikaondoka zangu kazini, cha ajabu jioni narudi kazini nakuta hakuna mtu wala hakuna kitu cha aina yoyote mule ndani kwa maana nyingine (ametoroka) kabeba kila kitu kilicho chake na kisicho chake, na hapa nilipo nilienda kulala kwa rafiki yangu sijaenda kazini na sielewi nifanyenini.

umesema ulienda kulala kwa rafiki yako, inamaana mkeo alitoroka na nyumba pia.
 
Vitu vyako vipo getoo mdau... Mkeo kaniletea tuanzie maisha ww si unajidai wa mujini.! Utapata vngne
 
Na zaidi lililonishangaza.......ni hilo la kuwekewa ugali na mchuzi wa samaki kwenye shuka.......hivi wachawi wana akili timamu kweli...........?........hiyo ndio nini sasa..............

Minikajua labda ndo unaenda kusuruhisha ndoa ya huyu jamaa yetu make anadai mke kaamisha kilakitu
 
kwanini story za kutunga zinakuwaga tamu kuliko halisia?anyway kamuangalie kwao kwanza

kwaiyo we umeona hii ya kutunga sio? any way sifikirii kwenda kumuangalia kwao kwan am sure hawez kwenda nyumbani.
 
Bosi wangu alipata kuniambia siku moja 'wewe ni kijana ikitokea umeteleza kwa mwanamke na ukaenda naye gheto kwako,kama utatoka kwenda dukani,mfungie ndani na usiku mkilala chunga sana hakikisha haoni wapi umeweka funguo vinginevyo utakuja juta',leo ndo naamini kauli ya boss,boss asante kwa ushauri murua mungu akuzidishie busara zaidi boss

sasa huyu mimi siyo wa kupita, ni mke wangu na nimeishi nae for a long time bro.
 
Haha pole mkuu nna mshkaji wangu nae kalizwa na mwenza wake ingawa wao hawakua wameona
 
Back
Top Bottom