nadhani hujaielewa thread isome vizuri.
usipanic wemsubirie tu nyumbani labda kavipelekwa kwa fundi kuvitengeneza.yani wewe umeibiwa alafu unamuita mkeo siku hizi hakuwa wake ni majambazi
Habari wanajukwaa,
Labda nianze kwa kusema haya sasa ni mapenzi au wizi? Mnamo juzi kati siku ya jumapili tuligombana na mke wangu lakini ulikuwa ni ugomvi wa kawaida tu, kama mnavojua katika mapenzi lazima iwepo mitafaruku ya hapa na pale, tukanuniana siku nzima lakin kufikia jumatatu kila mtu akawa kama ameshapotezea hivi.
Jana kaniandalia chai vizuri, nikanywa nikaondoka zangu kazini, cha ajabu jioni narudi kazini nakuta hakuna mtu wala hakuna kitu cha aina yoyote mule ndani kwa maana nyingine (ametoroka) kabeba kila kitu kilicho chake na kisicho chake, na hapa nilipo nilienda kulala kwa rafiki yangu sijaenda kazini na sielewi nifanyenini.
Na zaidi lililonishangaza.......ni hilo la kuwekewa ugali na mchuzi wa samaki kwenye shuka.......hivi wachawi wana akili timamu kweli...........?........hiyo ndio nini sasa..............
kwanini story za kutunga zinakuwaga tamu kuliko halisia?anyway kamuangalie kwao kwanza
Bosi wangu alipata kuniambia siku moja 'wewe ni kijana ikitokea umeteleza kwa mwanamke na ukaenda naye gheto kwako,kama utatoka kwenda dukani,mfungie ndani na usiku mkilala chunga sana hakikisha haoni wapi umeweka funguo vinginevyo utakuja juta',leo ndo naamini kauli ya boss,boss asante kwa ushauri murua mungu akuzidishie busara zaidi boss
pole mkuu, wanawake wa mkoa fulani hv wana hizo tabia,huyo wako wa wapi?
umesema ulienda kulala kwa rafiki yako, inamaana mkeo alitoroka na nyumba pia.
Vitu vyako vipo getoo mdau... Mkeo kaniletea tuanzie maisha ww si unajidai wa mujini.! Utapata vngne
Nonsense.
hyo ni mkeo au kibaka
wa TA.
Vitu vyako vipo getoo mdau... Mkeo kaniletea tuanzie maisha ww si unajidai wa mujini.! Utapata vngne
mi najua wa TBR ndo wana hako katabia(nimeshuhudia kwa majicho yangu)