Mpenzi wangu kaniibia kila kitu, katoroka

Mpenzi wangu kaniibia kila kitu, katoroka

baada ya kuondoka umejua thamani yake ungesuluhisha mapema asngeondoka nenda kwa wazazi wake utoe taarifa kwanza kabla hujadaiwa binti wa wenyewe

thamani yake niliijua toka mwanzo na ndo maana nikaamua kumuweka ndani, ila yeye kashindwa kutambua thamani yangu kwake ndo mana kaondoka.
 
Habari wanajukwaa,

Labda nianze kwa kusema haya sasa ni mapenzi au wizi? Mnamo juzi kati siku ya jumapili tuligombana na mke wangu lakini ulikuwa ni ugomvi wa kawaida tu, kama mnavojua katika mapenzi lazima iwepo mitafaruku ya hapa na pale, tukanuniana siku nzima lakin kufikia jumatatu kila mtu akawa kama ameshapotezea hivi.

Jana kaniandalia chai vizuri, nikanywa nikaondoka zangu kazini, cha ajabu jioni narudi kazini nakuta hakuna mtu wala hakuna kitu cha aina yoyote mule ndani kwa maana nyingine (ametoroka) kabeba kila kitu kilicho chake na kisicho chake, na hapa nilipo nilienda kulala kwa rafiki yangu sijaenda kazini na sielewi nifanyenini.

Hivi wake wa kuandalia chai waume zao bado wapo?
 
He he he.......pole sana.......
Naelekea Bunda kutatua matatizo ya walimu .......nikirudi nitakwambia cha kufanya.........

Teheteheee Preta na mimi nipo Bunda pia naandaa njia ya safari ya MATUMAINI kwa waTanzania. Kama vipi nikupokee mwanaJF mwenzio
 
Last edited by a moderator:
Habari wanajukwaa,

Labda nianze kwa kusema haya sasa ni mapenzi au wizi? Mnamo juzi kati siku ya jumapili tuligombana na mke wangu lakini ulikuwa ni ugomvi wa kawaida tu, kama mnavojua katika mapenzi lazima iwepo mitafaruku ya hapa na pale, tukanuniana siku nzima lakin kufikia jumatatu kila mtu akawa kama ameshapotezea hivi.

Jana kaniandalia chai vizuri, nikanywa nikaondoka zangu kazini, cha ajabu jioni narudi kazini nakuta hakuna mtu wala hakuna kitu cha aina yoyote mule ndani kwa maana nyingine (ametoroka) kabeba kila kitu kilicho chake na kisicho chake, na hapa nilipo nilienda kulala kwa rafiki yangu sijaenda kazini na sielewi nifanyenini.

nimeipenda hii
 
Huyu alikuwa mke au kimada? Ulimuokota wapi? Hujui wazazi wake wanaishi wapi? Hujui ndugu, jamaa na marafiki zake wanaishi wapi ili ukaanzie huko?
 
Kutoroka? ndo maana sijaoa nanina 27-33yrs na sina mpango naogopa kutendwa kama jamaa.

Naona umri wako haujawa stable mkuu,perhaps ukiishatulia utaoa tu...maana naona umri wako unapanda na kushuka kitakwimu haupo spesific! Lakini say una miaka hata 200 nani alikuadanganya kwamba umri ni kigezo cha kuoa?
 
Back
Top Bottom