Mpenzi wangu kaniibia kila kitu, katoroka

Mpenzi wangu kaniibia kila kitu, katoroka

Sharo,ina maana hyo binti humjui kwao? huwajui ndugu zake? umesema ni mke? basi nenda kwao...nijuavyo mimi mke akiondoka na vitu vyako amekusudia umfuate alipo,bado anakupenda huyo> ila unaonekana wewe ni tatizo,yaani badala ya kulilia kua kaumiza moyo wako wewe unalilia vitu....

mmeibiana.:blah:

silii vitu namtaka yy mwenyewe na mwanangu
 
malaz muda wowote narudisha na ivyo vitu vingine vitarudi, lakin nafikiria nitaishi vp bila mke?
for time been just be alone .... huku ukiangalia namna ya kufanya... yafaa nini kuwa na mke mgomvi au mkorofi? maisha ni zaidi ya mke
 
huyo piga kimya usimtafute wala nini assume ndo umemaliza shule anza maisha tulia kama maji ya mtingini japo ni ngumu , usikurupukie mwanamke yeyote kwanza halafi hasira zikiisha jipime upya. huyo anategemea utamtafuta umlilie lilie ndo maana angekuwa yeye hana makosa kwanini asichukue nusu ya vitu vingine aache? siku/mwaka akikutafuta mpe shart la kuridisha vitu vyote na avipange kama vilivyokuwa na ukiwa haupo then umbane akuambie alimaanisha nini alivyovibeba

Aisee una moyo, ushauri wote huu!!

Mwenzako yupo kwenye mazoezi ya fasihi andishi likizo hii
 
sikatai kuwa peke angu kwa muda but nawaza nitaweza?
utaweza ni mind setting tu mkuu.. kwanza kubaliana na hali halisi iliyojitokeza then fanya maamuzi kuwa imetokea and you need time to think .. maamuzi utakayofanya sasa yanweza kuwa si mazuri...
 
Nilikuwa nasubiri BADILI TABIA verification!!

Sasa waweza kumruhusu mwana wa Adam A.k.a Sharo aende twisheni, Ilala mchikichini.

platozoom sishangai kama mmeshindwa kuwaamini wanachosema mitume wa dini zenu je mtaweza kuniamini mimi ninachokisema?
 
Last edited by a moderator:
sikatai kuwa peke angu kwa muda but nawaza nitaweza?

baada ya kuondoka umejua thamani yake ungesuluhisha mapema asngeondoka nenda kwa wazazi wake utoe taarifa kwanza kabla hujadaiwa binti wa wenyewe
 
Back
Top Bottom