Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,138
- 7,398
Huyo mkeo mlikutana barabarani au mnafahamiana hadi kwa wazazi wenu? Na hivyo Vitu kavibeba kuvipeleka kwao au wapi? kama ndugu zake wamempokea na hivyo Vitu itakuwa maajabu. Anza kumtafuta kwa ndugu zake kwanza. Ila kama mlikutana kimjini mjini then pole, Anza tu upya
Youngsharo hawezi kuwa na mke wala kazi..usipoteze muda kumshauri mtu anayeitwa youngsharo