shansarie
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 5,690
- 3,370
pole sana itafika muda you will learn to let it go,hiyo inaumizaga sana i have been there yaani utadhani unanisema mimi enzi hizo na ma ex.TOUGH LOVE.Habari wana JF,nampenzi nampenda sanaa mambo yote yuko poa si mkorofi, ukiwa nae pamoja ana care..tatizo moja linaniumiza kichwa:
1.ni nadra kwake kukutakia khali iwe ni asubuhi,mchana wala usiku mpaka umuanze.unaweza kumpigia asipokee na badae ata ku sms sorry nilikuwa nimelala..au niko busy basi
2.Hajawahi kabisa kusema mpenzi wangu tutoke tuende sehemu fulani ..makutanio yetu ni nyumban kwake tunamaliza mchezo ananirudisha home..kukutana tena mpaka mimi nimuanze ataniambia njoo najipeleka mwenyewe
3.leo ni suku 7,tangia niseme simpigii baada ya kuniahidi tutaaonana kwa issue fulan na hakuonekana nikakasirika na kumtumia sms za lawama..mpenzi wangu huyu hapigi simu wala sms ..namiss sana najilaumu kwann simtafuti moyo unahangaika nashindwa nifanyeje kurudisha mawasiliano nahisi atanidharau
Ushauri jamani..
MOYO UKICHOKA dont think twice to leave him kuna mtu out there ambaye yuko tayari kukupa yote hayo.na utamsahau haraka sana.that's what i did and am happy now