Prof Janabi wa JF
Member
- Jul 7, 2023
- 29
- 37
- Thread starter
- #21
Kwenda na mtu sio lazima, japo nimepewa fursa za kufanya hivyoUnakwea vipi mwewe bila ya kumpata wa kuondoka naye kwanza we Profesa
Kwenda na mtu sio lazima, japo nimepewa fursa za kufanya hivyoUnakwea vipi mwewe bila ya kumpata wa kuondoka naye kwanza we Profesa
Nachukua hii mzee wanguAchana na hyo takataka mazee kapige mishe zako uweke faranga kibindoni.
unaweza kwenda nae akaishia kuwa kero tu
Unaweza ukaenda nae ukakuta visu huko ughaibuni ambao wapo aggressive na utafutaji ukajuta kwenda na goalkeeper
Unaweza ukaenda nae ukapata ramani nyingine za kipesa lkn yy akawa kama kikwazo Cha ww kufanya free movement
Unaweza ukaenda nae akakuletea sera za ajabu hawaishiwagwi vimbwanga
Dah! Japo penzi kitovu cha uzembe, huu uzembe unaotaka kunishauri siuwezi. Hii fursa nimelala naiota kama mwehu, nimeipata halafu niiache, bora mniueAcha hiyo mishe baki na shemeji mkuu.
Umejuaje ni rahis?Wa ughaibuni najua ugumu itakuwa culture nahisi itakuwa rahisi kuachana na warembo wa huko. Ndio maana natamani born here here ili akiongea bi mkubwa wangu kijijini aelewe
Jirani unataka huo mjengo umuachie nani?Ughaibuni ipi?? Weka wazi mkuu, wa kuondoka naye tupo wengi 😜
Mtu anaenda iraq au nchi za kiarabu au sauz unategemea kuna mtu atataman.Njoo nichukue Mimi mwaya
Mjengo napangisha wazungu me naenda ughaibuni jirani 😜Jirani unataka huo mjengo umuachie nani?
Naomba upangishe mzungu wakike nitalinda mpaka upepo usivumie upande wa pili 😂Mjengo napangisha wazungu me naenda ughaibuni jirani 😜
Si utakuwa unanilindia 😂😂😂😂
Aaah nchi za kiarabu au Mashariki kwa ujumla sijawahi kuzikubali kivile, naenda MagharibiMtu anaenda iraq au nchi za kiarabu au sauz unategemea kuna mtu atataman.
Nenda ulaya au marekan uone
Nakubali nakubali Mrembo wa jijiEeeh babe nakusubl hapa tuondokeee zetu
😂😂😂😂Naomba upangishe mzungu wakike nitalinda mpaka upepo usivumie upande wa pili 😂
Najua ukicheka unamaanisha tayari mpangaji wa vigezo vyangu tunae 😂😂😂😂😂
Njoo pm nikupe mrembo wa uhakika.Aaah nchi za kiarabu au Mashariki kwa ujumla sijawahi kuzikubali kivile, naenda Magharibi
Naona umetupa pasi mkuu😀😀
Lipia tangazo.Umufia kwenu wakuu,
Kwa muda mrefu nilikuwa na uhitaji wa kuoa, ila nilikuwa na ugumu wa kumpata mwanamke. Katika harakati za hapa na pale mwaka huu nikampata mtu nikasema hiki chuma nakiweka ndani. Ila sijamwambia kama nataka kumuweka ndani.
Hata hivyo nilikuwa na harakati za hapa na pale ambazo nyingi alikuwa anazijua. Na ghafla nikapata mishe ya kwenda ughaibuni kwa kipindi cha miaka miwili. Hii mishe inaruhusu mtu kwenda na wategemezi wake. Mimi nikaona niongee na mama mtu ili twende wote.
Aisee huyu mrembo kanichomolea, kasema hataki kwenda. Sasa nawaza nimuache, niende zangu nikachukua mrembo wa ughaibuni nirudi naye au nichukulie poa. Fikiria miaka miwili nikae mbali, lazima nitafanya mambo yangu, na yeye najua kuna mlevi atakuja kumkaza, aisee nimekwazika nawaza nimuacha kama kupata wa kuoa natamani nipate mwingine ili tuende wote, au kama vipi nikapeperushe bendera ughaibuni
Wadau mnaniambiaje. Natarajia kukaa ughaibuni kwa miaka miwili, na kiukweli sitamani mrembo wa ughaibuni ila naona kama nalazimika iwe hivyo.
Naombeni ushauri wenu. Kataa Ndoa huu uzi hauwahusu
Mkuu sitafuti wale wa kupeana kwa one night, hao wapo everywhereNjoo pm nikupe mrembo wa uhakika.