Hahahahaahhahaa...momiiiii...dont try it...but try it when ur about kubanjuka kunako 6 to 6...it has a unique taste...
you sounds like umewahi smoke
Bossman, are you 4:20 friendly?
lol arachuga ni nouma i real lobe that place of matukio kubakwa mchana kweupeee huku watu wanakuangalia hata hawashtuki kawaida sana...... nikipita kijuweni kwa machalii washapata vyao najistukiajee usipowasalimia unalo.. ukiringa unalo ukileta usista duu unalo..ukitongozewa ukakataa unalo... mi full kujigonga matage si matege mweh..!!!
Ntajirahidi nione kama ataacha bangi ni mbaya sana.
i think i have a thing with those cute quiet women who smoke this thing...
I don't blv that sio arusha nayoijua mm
The feeling is.mutual here
I love women who smoke I real don't know y
Kwamfano hapa kwa office kuna dem mpya kahamia she smokes a lot namuoa so attractive aisee
ndege wafananao............??????
I don't blv that sio arusha nayoijua mm
location-geto....geto zote zina weed
Bange bange...haina shida kabisa. Let us legalize it!!
sio unabisha tu ivi arachuga unapajua unapasikia?? kuna dox moja liko kijenge chini panakaa wavuta bangi tupuu mazali kila kukicha asee usijifanye mjuaji juzi kati tu kuna limama linajifanya shangingi limepita na kimini chake kifupii kabakwa live live baada ya wiki 2 jimama likahisi dalili za ujauzito kupima kitu positive.. na ni limke la tajirii maarufu huku kwetu.. weh!! hazikupita hata siku nyingi mmama akajiua kwa aibu..