Yes!i am meredi saa!!!??
Huyo demu wako nshamjua, alinambia hana mpango wa kuacha bangi. Alinambia ana mpenzi wake JE, kumbe ndo wewe?
Swali kubwa ulilouliza ni kama bangi ni sawa na pombe...
Nielewavyo mimi Pombe ina madhara zaidi kiafya na kijamii kuliko bangi.
Tatizo kubwa la bangi ni more addictive kuliko pombe. Akiweza kujicontrol akavuta kwa kiasi sioni ikimsababishia yeye, wewe au jamii inayowazunguka madhara. Shida itatokea pale akikolea na ikatokea kipindi inamlazimu aache, mfano ujauzito; atapata shida sana.
Otherwise kama anavuta kwa kiasi sioni kama ni shida. Actually kwa kuwa umejua ni bora ukawa unamnunulia anavutia home huku ukiendelea kushawishi apunguze na aache kabisa...
Khaa.!!nimnunulie bangi.?asante kwa ushauri ila kumnunulia bangi hapana.Swali kubwa ulilouliza ni kama bangi ni sawa na pombe...
Nielewavyo mimi Pombe ina madhara zaidi kiafya na kijamii kuliko bangi.
Tatizo kubwa la bangi ni more addictive kuliko pombe. Akiweza kujicontrol akavuta kwa kiasi sioni ikimsababishia yeye, wewe au jamii inayowazunguka madhara. Shida itatokea pale akikolea na ikatokea kipindi inamlazimu aache, mfano ujauzito; atapata shida sana.
Otherwise kama anavuta kwa kiasi sioni kama ni shida. Actually kwa kuwa umejua ni bora ukawa unamnunulia anavutia home huku ukiendelea kushawishi apunguze na aache kabisa...
Sasa kama huyu si unaona anataka kukata kamba tetere!!!!!Lakini ukweli umemuweka huru,so jamaa aamue,sijawah ona mtu anavuta bange anajjikojolea,au anasababisha ajali barabarani,ila sasa wanywa serengeti na tusker ni noumer!mi naona aache pombe aungane na gal wake kwny kijiti!
Mmh huo ndo ukubwa?kumrudisha wife home.kwani hapa tunaongelea ukubwa gani labda.?wa kimwili au kiwaakili.?
Juzi Kati hapa Obama alisema bora mtu anaevuta bangi kuliko anaye kunywa pombe upo hapo!!
Habari wana jf.
Kama nilivyo andika kwenye kichwa cha habari,huu ni mwezi kama wa 8 hivi nipo katika mahusiano na dada mmoja,kwa kumuangalia kwa kweli. ni dada mrembo sana na anaejitambua,sasa tatizo linakuja kila siku jioni alikua ananiaga anaenda kwa rafiki yake,mwanzoni niliona ni kawaida tu sababu nilikua namwamini sana, mda ulivokua unazidi kwenda nikawa napatwa na wasiwasi,siku mmoja niliamua kufanya upelelezi mimi binafsi,aliniaga anaenda kwa rafiki yake kama kawaida yake,nilikaa kama dk 10 baada ya kuondoka na mie nkamfata mpaka nyumbani kwa rafiki yake,sikuingia ndani nilichungulia tu dilishani,niliwakuta wakivuta bangi bahati nzuri awakuniona,nirudi nyumbn sikuhyo sikumuuliza kitu,umepita kama mwezi hvi, juzi nikamuuliza kama anatumia bangi,bahati nzuri hakua na ubisha alikubali,anasema bangi anayovuta haina matatizo yoyote kwake eti ni starehe tu kama mimi nnavyokunya pombe.tumegombana sana,naombeni ushauri wenu kama kweli bangi na pombe ni sawa na kama anafaa japo tabia nyingi nying za ajabu kwa sasa bado sijaziona.
Najua yupo jamii forum na najua atausoma huu uzi na najua ataanzisha mtiti mwingine, poa tu mi natafuta ushauri tu.
Mkuu kwani madhara ya cannabis ni yepi???!!!Mkuu inategea mtu anakunywa pombe kias gan na mvuta bangi anacuta kias gani.obama naona na yeye alikua anatete kilevi chake as kma anavuta sigara lazima ma bange ashavuta.
ahahaha, anajificha kwasababu anaogopa kukwambia anaweza kukupoteza, cha msingi mwambie tu nakuruhusu uvute bangi ila sitaki uvute na wanaume wengine, na kama anataka kuvuta bangi basi avute na wewe ukiwepo, ikiwezekana jifunze uwe unamnyongea unampa, halafu taratibu taratibu unatumia busara kumwachisha, lakini ukimpiga biti aache hawezi kuacha mkuu. mfano akiwa anavuta na ww upo pembeni, unaanza kumpa darasa kua bangi sio nzuri na ajaribu kuacha taratibu, mfano mwambie ipo siku utakua mama, na bangi sio nzuri inaharibu cell za mtoto kwenye ukuaji sasa atajiharibu kizazi, kwahiyo kama ana mapenzi na mwanae mtarajiwa apunguze na ikibidi aache. jaribu kutoa maneno matamu yatakayo mgusa moyo wake na kuona kweli unamjali.
Mbona wanaume wanavuta,wanawake wanavumilia,ni wakati wako sasa kumshauri na kumkanya aache hiyo tabia ya kutumia madawa ya kulevya ni HATARI!